Mbona kuna huyu mke wa mtu tena mume wake ana njululu za kutosha lkn haishi kunipiga mzinga au sijui sababu ni mchaga duuuuuKwa vile hana gharam lait ungekuwa unahudumia ungekimbia majukum yak
Vya bure uhumizaHakuna raha kama kupiga kitu akili imetuliaaa, hufikirii kukabwa na pesa ya salooni wala makolokolo mengine.
Mi nazan tumekosa vya kujadili inafikia hatua kufundishana au kutukuza maovu ambayo uwe muislam au mkristo vitabu haviruhusu,kama mke /Mume WA MTU mtam ushawai jihoji kuwa hata Mume/mkeo ni mtam ila tamaa ndo inakutawala?mi nafikir hii jamii forum iwe ya kuelemisha na sio MTU kuleta mada za kukumbatia uovu,tujaribu kuwa na hofu hata chembe kumuogopa Mungu.

Ikimbieni zinaaHii imakaaje,... Nilishawahi kufanya hii dhambi,.. Nashukuru nimeweza kujinasua kwenye hili tatizo, maana ukishaingia huku, kutoka ni Kazi kweli kweli.... Mke wa mtu anakuwaga mtamu saaana halafu penzi lake ni matata na halichoshi....inasababishwa na nini hii kitu...
Aiseeeeee!Hii imakaaje,... Nilishawahi kufanya hii dhambi,.. Nashukuru nimeweza kujinasua kwenye hili tatizo, maana ukishaingia huku, kutoka ni Kazi kweli kweli.... Mke wa mtu anakuwaga mtamu saaana halafu penzi lake ni matata na halichoshi....inasababishwa na nini hii kitu...
Shetani anakuwa katikati yenu kuwaraghai ndo maana mnanogewa.,,Hii imakaaje,... Nilishawahi kufanya hii dhambi,.. Nashukuru nimeweza kujinasua kwenye hili tatizo, maana ukishaingia huku, kutoka ni Kazi kweli kweli.... Mke wa mtu anakuwaga mtamu saaana halafu penzi lake ni matata na halichoshi....inasababishwa na nini hii kitu...
Hakuna matumizi kule zaid ya penzi na huenda ukawa unapatiwa na fedha