Nawapongeza sana Onesphory Chami mwkt wa Kitongoji cha Ilikiuerei na Elias Naigisa wa kitongoji cha Namayana.
Mmefanya kazi kubwa ambayo inatakiwa iungwe mkono na kila mpenda maendeleo.
1_Shule ya msingi Ilikiurei mmewezesha watoto wale kupata maji ambayo tangu uhuru hawakuwahi kuyapata...
Arusha na chadema ni mdomo na mate, haiwezekani yeyote duniani hapa wa kutenganisha Chadema na Ars.
Chadema ni mpango mzima nchi nzima.
Ukawa kama Kawa
Nyinyi msiojua
Mwkt- mtei
Ktb-makani
Mwkt- makani
Ktb-kabourou
Mwkt-mbowe
Makamu- safari
Makamu-hamad
Ktb mkuu- slaa
N/katb- mnyika
N/ktb-s. mwalim
Ukabila uko wapi hapo??? Au mama na babako ni kabila moja ukafikiri na CHADEMA ni hivyo??
Zzk alikuwa msaliti kwa kuzaliwa, uchaguzi wa arumeru...
Mapopobawa hayo, mmegombana na madaktari,waalimu, madreva, maaskofu, wanainchi.mmeua uchumi wa taifa hili.
Mmekataliwa na wahisani sababu ya kulinda wezi wa escrow.
Sasa mmehamia dhambi isiyokubalika ya kulawiti watoto wadogo. Na bado kuna watu humu nao ni wehu au majuha mnatetea upuuzi huo...
Hongera madiwani wa CHADEMA. Endeleeni kutenda haki, maccm yanaendeleza dhuluma na uzushi,
Mji umeongeza mapato ya ndani ni mipango yenu hiyo, big up sana.
Ikiwezekana sasa kama hati ya ununuzi ina utata warudishe kiwanja hicho soon.
Pia ni vema wanainchi waambiwe kinachoendelea. Ars tupo...
Watu wengine vichwa ndimu sana, chadema ni mpango mzima,
Chadema mfano Ar mjini wana mitaa 74 na sisiem 78. Lakini mitaa 5 ccm walipita bila kupingwa hivyo kwenye sanduku la kura CHADEMA 74 na ccm 73.
Lakini ukiwa nao utaona wanajitekenya na kujichekesha wenyewe.
Kuna wakati wa kuweka...
Wewe kim haki ya mungu hunijui pesa yangu ulionirusha kwa daytrip ya ngorongoro utailipa jukwaani.
Laki na ishirini uliobaki nayo itakutoa jasho sana. Tunahitaji mtu makini kama KAMANDA LEMA yeye ni rais wa Arusha.
Usidanganye watu kuwa unahitaji utulivu na amani, tambua hakuna Amani bila...
Dr Slaa ni mashine hiyo,hakuna wa kumbabaisha Tz hii.
Lowasa ulitoa wapi pesa za kuhonga?? Utazirudishaje??? Unalilia urais ili ufanyeje??wewe hufai hata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.