Dr. Slaa: Hakuna Uoga Wowote Juu ya Lowassa

Dr. Slaa: Hakuna Uoga Wowote Juu ya Lowassa

Ccm maji kbs na wanamuogopa kwl, post ya kijinga huyo kagenz alitumwa na ccm na ndo maana tukamnyaka na mawasiliano na ccm

Kamanda huyu mzee wa tetema maana anatikisika zaidi ya cm ya Nokia awezi chochote sasaivi hata kuongea si unamuona awezi Munguka kalinde haka kaze kaone ukawa inavyo chukua nchi
 
Dr Slaa kama Strategist hakuwa na haja ya kuonyesha mapungufu ya Lowassa kwa sasa! Tayari Pinda, Pengo, Masaburi, Membe Wanampiga Vita Lowassa... Isije ikasomeka kuwa ni mtanange wa Roman Catholic Vs KKKT ...
Acha mawazo ya kidini
 
Sina Chembe ya Udini Mkuu.... nazungumzia uwezo wa Slaa katika kuangalia mambo kwa 3D ... Tayari kuna mnyukano ndani ya CCM ambayo kiuhalisia ni positive kwa CHADEMA/UKAWA... Mnyukano huo unatakiwa kuendelea kwa muda mrefu Zaidi kwa maslahi ya wananchi wa Tanzania ....

Acha mawazo ya kidini
 
Aliwazalo mjinga ndilo litakalomtokea!

Mzee Slaa ameanza kuogopa kivuli chake!

Ukawa moto juu nyie ndo mnaogopa na mnakund kwl kila cku kutunana kama ww uko kwenyekund la EL unafuata mkumbo ndo maana nasemaga watoto wa Lumumba wanafikiri kwa matak.. tu
 
Naona Dr.Slaa ameamua kujifariji na kijiliwaza hajui kama ndani ya Chadema kuna kuna wafuasi wa Lowassa.

Jifunzw kuandika piganen huko lumumba kuhusu urahis sisi ni kimya kimya jiz hilo nan aliogope mmeibiwa na bado mnataka kuibiwa duuuh
 
Kamanda huyu mzee wa tetema maana anatikisika zaidi ya cm ya Nokia awezi chochote sasaivi hata kuongea si unamuona awezi Munguka kalinde haka kaze kaone ukawa inavyo chukua nchi


CDM chama cha wachaga na watu wa Kaskazini tu...

Nothing new, old mentality and fox like you chaga, ndio mnaweza kaa cdm..!!!
 
duuuh bora huku kuna watu wenye busara na uelewa.kulko fb...watu wanaojua kutoa matus....slaa ww nenda fb kwa wafuas wako...huku n team lowasa...tyu na mwaka huu mtakoma!!!!
 
Nampa pole Dr. Slaa....
kashauona MOTO WA CCM THRU LOWASSA.....kaona vijana na wana CDM wengi ni TEAM LOWASSA...kaanza kushangaa ni nn hiki...!?? Akina #Ben Saanane na wengi CDM ni LOWASSA TU KWA URAIS....naona Dr. Slaa kaanza kuogopa mno, sio kawaida yake kutoa kauli za kujihami hivi....nategemea na yeye atajiunga kumpigia kampeni Lowassa....!!!

Soon, utasikia Dr. Slaa akisema, namkubali Lowassa, ila CCM siipendi, ndio hapo sasa, Dr. Slaa kashamezwa na UMAARUFU WA LOWASSA....simsikii, simuoni, haonekani ktk magazeti wala mitandao...kamalizwa kabisa.....CCM thru Lowassa ni MOTO MKUBWA..!!

keep watching...!!!
ni kweli kwamba njaa inadhalilisha , lakini si kwa kiwango hiki !
 
Dr Slaa ni mashine hiyo,hakuna wa kumbabaisha Tz hii.

Lowasa ulitoa wapi pesa za kuhonga?? Utazirudishaje??? Unalilia urais ili ufanyeje??wewe hufai hata kidogo
 
Dr Slaa ni mashine hiyo,hakuna wa kumbabaisha Tz hii.

Lowasa ulitoa wapi pesa za kuhonga?? Utazirudishaje??? Unalilia urais ili ufanyeje??wewe hufai hata kidogo

Padre mstaafu slaha anaanza kujiham mapema sana mbna au ndo kapoteza mwelekeo tyr na bdo ataweweseka mno watz sasa tunaimani na Lowassa tu hatudanganyki mwaka huu,EL ndo habar ya mjini aisee
 
Hakuna uoga wowote juu ya Lowassa au CCM kutaka Urais. Wanaosema kuna uoga wanapotosha ukweli. Kuna mshangao tu, kwamba "wana lipi jipya"?
Source😀r Slaa Tweet!
Katibu mkuu Chadema!

Mkuu Kibo10, heshima yako

Rais wetu alukuwa ikitweet kwenye mada gani iliyokuwa ikisemaje?

BACK TANGANYIKA
 
Kuna ugonjwa gani ktk akili za vijana wa nchi hii.ccm imetenda kila aina ya wizi na ufisadi lakn bado wanashangilia ccm.
 
Back
Top Bottom