Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Kuna mwingine wa cuf anataka ubunge na udiwani.
Mkuu anataka ubunge na udiwani?
Kuna mwingine wa cuf anataka ubunge na udiwani.
Haaa haaa duh MUSSA ALLAN huyu Fute sidhani kama CCM ni wajinga kiasi hicho jamaa ni mjanja mjanja wa mjini kwanza aliingia katika tasnia ya filamu akashindwa kufurukuta kutokana ubishororo sasa yupo kwenye utalii na kikampuni cha kisanii saniii hana lolote bora ungeniambia Mollel wa Monaban anaweza kusumbua kutokana na ukwasi alionao lakini akiingiza ukabila kitamtokea kama kilichomtokea Ole Saibul.
Halafu jana nilikuwa kwa Kiwory natangaza nia ya kugombea ubunge kupitia ACT Wazalendo nadhani nitaleta ushindani wa ukweli.
Haaa haaa duh MUSSA ALLAN huyu Fute sidhani kama CCM ni wajinga kiasi hicho jamaa ni mjanja mjanja wa mjini kwanza aliingia katika tasnia ya filamu akashindwa kufurukuta kutokana ubishororo sasa yupo kwenye utalii na kikampuni cha kisanii saniii hana lolote bora ungeniambia Mollel wa Monaban anaweza kusumbua kutokana na ukwasi alionao lakini akiingiza ukabila kitamtokea kama kilichomtokea Ole Saibul.
Halafu jana nilikuwa kwa Kiwory natangaza nia ya kugombea ubunge kupitia ACT Wazalendo nadhani nitaleta ushindani wa ukweli.
Ukitaka kujua Lema hapigwi, ni kujiuliza mbona waliotangaza nia wengi ni wa CCM? Hapo ccm mnapigana wenyewe kwa kuwa kila kabila hapo linataka mgomea wake ndio apitishwe na chama, hakika watakaotoswa WATAMPIGA MWENZAO aliepitishwa na chama tatizo lenu walafi wa madaraka mnapigana wenyewe kwa wenyewe na jimbo haliwezi rudi ccm tangu mfumo wa vyama vyingi uingie nchini ccm haijawahi shinda Arusha, na haitashinda tena.
Ubarikiwe mkuu
Tumwombe Lema asigombee asimamishe jiwe na hao mafisadi, wapambane nalo, litawapiga chini vibaya sana!!!!!!!
Amina, tubarikiwe sote mkuu, hakika amtegemeae Mungu hata aibika milele, tulianza na Mungu, tupo na Mungu na tutamaliza na Mungu.
Chama cha Supreme Leader Zitto Kabwe.
Mwaka wa tabu huu kwa Lema
yaani ccm hata aje Kikwete Arusha akijitahidi saba atapata kura 5000...
LEMA anapingwa kila kona!