Recent content by ceteris1

  1. ceteris1

    Bundle la mtandao upi ni cheap unaweza download movies

    Nimekuwa nikihangaika kupakuwa movies alafu sifikii tamati bundle kuisha naomba kueleweshwa Kama unaweza shauri hapa tushirikishane kujua ni bundle za mtandao gani zinaweza kuwa bei lahisi ili kuweza kupakuwa movies kutoka kwenye mtandao wa intaneti!?
  2. ceteris1

    The Potential of a Federation: Tanzania, Uganda, Kenya, Rwanda

    This is just a wish... and it is not this soon to bcome true. We have a lot of complex issues that hits our regional unity. Lebels, dictatorship, human rights issues in most cases the laws of war has been deeply violeted. We realy have a big differences to encounter. The stage that your saying...
  3. ceteris1

    Rais Magufuli aagiza kusitishwa zoezi la kuwaondoa Machinga Mwanza na wachimbaji wadogo migodini

    tatizo lipo kwa hawa wa chini na pia inawezekaana sio tatizo ambalo wanajitungia tuu ila pia inawezekana hawa watu walipewa meno ya kung'ata so na wao wanaamua kuuma uma kila sekta wakizani huo ndio utaratibu wa muheshiwa ni wao pia. wacha nikwambie hawa viongozi wa chini wataendelea kuhaibika...
  4. ceteris1

    Chumba self na subule vinapangishwa kigamboni

    NATAFUTA CHUMBA SELF CONTAINED NA SEBURE, LUKU YA KUJITEGEMEA NA MAJI YAWEPO 24/7. ENEO - KIGAMBONI. CALL:- 0653242627 BEI: 150,000 - 180,000/= KWA MWEZI.
  5. ceteris1

    Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

    Kama mtu una akili vizuri ukisikiliza maelezo ya watu wawili hao utajua wapi pako sawa. Mondi anajua ila maelezo yake yamejaa kejeli na kupayuka sana. Ivi umeona lile swali ommy alivyo ulizwa kuhusu kupuliwa alivyo jibu... jamaa kama vile alisomea diplomasia...
  6. ceteris1

    Interview ya Ommy Dimpoz: Bifu lake na Diamond, hastahili lawama

    Nilimsikiliza pia... nikajua kuwa dimond aliongea kwa jaziba alipanic na alikuwa anaongea kuonyesha anajua zaidi. Ommy ameongelea zaidi kuharibika kwa mahusiano na kiasi gani inamuuma. Kwa upande mwingine anaongea logic... yaani kama ni hasabu kafanya na kaonyesha njia na jibu kapatia...
  7. ceteris1

    Hawa Waandishi wa Habari wanapoitwa kwenye Matukio, kwanini wanadai malipo?

    Ngoja waje watupe habari nina hitaji la kujua hili jambo kwa undani.
  8. ceteris1

    Chumba na sebule (umeme bure) Sinza

    Anaetaka chumba na sebure master kwa bei poa kabisaa anicheki inbox. Location Tabata segerea.
  9. ceteris1

    Tanzania Yachomoa Kusaini Mkataba wa EPA

    Nyie majamaa wa kwnya mnatakiwa kujua kuwa the ripe moment for tz is not yet. Naona nyie ndio mshakubali kujishogeshaaa...hehehe
  10. ceteris1

    Tanzania Yachomoa Kusaini Mkataba wa EPA

    Haibu ya ndugu ako akitetea interest za nchi nyingine wakati nyie rushwa inawamaliza. Njoo umchukuee awasaidiee tuna kina bashe wengi wengine wapo mansese.
  11. ceteris1

    Magufuli haweze lete mabadiliko yoyote ya maana na atapita tu kama walivyopita watangulizi wake

    Psychology yako ipo vs magufuri mpaka hauwezi ona chochote anachofanya. Mabadiliko unayoyaongelea ni yapi sasa wakati wewe mwenyewe hujui hata kama mtaani kwetu kuna maji kila nyumba. Umeme umepungua costs, wafanyakazi hewa wanasepeshwa. Nahisi wewe ni pamoja na wale wafanyakazi hewa.
  12. ceteris1

    Maonyesho ya kilimo UDSM

    IMEONA TANGAZO KWENYE GROUP LA WHATSAPP JUU YA UZINDUZI WA BIDHAA ZA KILIMO MAHALI/;- chuo kikuu dar es salaam mkabala na UDASA Club. SIKU:- JUMAMOSI,DESEMBA 10,2016. Ila nimeshindwa kujua jinsi ya kushiriki mimi kama mjasiliamali na nimekosa kupata anwani zao ili kuweza kuwasiliana nao na...
  13. ceteris1

    Maonyesho ya bidhaa za kilimo

    NIMEONA TANGAZO KWENYE GROUP LA WHATSAPP JUU YA UZINDUZI WA BIDHAA ZA KILIMO MAHALI/;- chuo kikuu dar es salaam mkabala na UDASA Club. SIKU:- JUMAMOSI,DESEMBA 10,2016. Ila nimeshindwa kujua jinsi ya kushiriki mimi kama mjasiliamali na nimekosa kupata anwani zao ili kuweza kuwasiliana nao na...
Back
Top Bottom