Waafrika tumekuwa watumwa si wa matendo tu ila wakifikra. Wazungu wametupumbaza sana kutufanya tudharau vya kwetu. Tumia akili yako angalia nyenzo na madhumuni waliyotumia kutuletea dini zao. Angalia utendaji wa kazi wa dini zao ulinganishe na majibu ya matambiko yaliyokuwa yanatoka kwa mizimu...
Habari wana jamvi?
Ninasafari ya kwenda Thailand hivi karibuni. Ninaomba order ya mzigo wowote unaohitaji kutoka kule hasa nguo.
Nitakuja na mzigo na kukuuzia kwa bei poa ya jumla.
Order plz!
Nashindwa kuelewa. Hayo majaribio ni ya nini? Kama ndege imetoka Canada mpaka hapa salama salmin, hyo route ya masaa mawili ni ya kujaribu nin? Au imetengenezewa Ujiji?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.