tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 498
Picha ya tai chini akisubiri mtoto akate roho kutokana na njaa nae apate chakula chake uko sudan
so sadView attachment 315877
Picha ya tai chini akisubiri mtoto akate roho kutokana na njaa nae apate chakula chake uko sudan
Nchi GANI???Nchi tajiri, wameiharibu wenyewe
Mkuu ni South SudanNchi GANI???
Nasikia eti huyo mpiga picha alifariki kutokana na presha aliyoipata kwa kuona mateso ya njaa ya watu wa sudan kipindi hicho.View attachment 315877
Picha ya tai chini akisubiri mtoto akate roho kutokana na njaa nae apate chakula chake uko sudan
Nasikia eti huyo mpiga picha alifariki kutokana na presha aliyoipata kwa kuona mateso ya njaa ya watu wa sudan kipindi hicho.
Naona mwezetu uko mbali sana njeee kabisa ya mada pole sana mkuuHii picha ipo humu kitambo sana.kuna thread yake tayari.