Unatoa amri kama nani? Kwani dini yako Ina dhehebu moja tu???
Wacha uchonganishi kama wewe ni aswali sunna wa kanzu fupi fata yako acha ya sunni yaendelee
Kwa kweli mheshimiwa anaboa sana na safari zake za nje yani miaka 10 ya uongozi wake kakaa nchini kwa % 35 tu na % 65 ni nje yani sijui kwanini hakupendi bongo eti Kaenda kikazi kazi gani bana ushamaliza muda
Wewe mleta huu uzi mbona sikuelewi umeleta huu uzi kwa kuvutiwa na hilo jina la EL Chapo au???
Naona na mwenyewe unajiita El nino au nyie ni ndugu wa mama tofauti na mwenzenu mwengine EL wamemkata kule domadoma😅
Hata kama hairuhusu itaweza kuingilia uhuru wa wengine???
Mimi binafsi sipendezewi na ningeomba suala hili likemewe na serikali yetu ya magufuli tena waanzie huko maofisini huwa wanatuumiza sana
Mpaka wanatufanya tunasahau shida zinazotupeleka humo ofisini
Mwe!!! Vinakuaga vitamu vimini vyao...
Ni kweli ila kabla hujaleta huu uzi ungefikiria haya yafuatayo
1 nchi haina dini
2 wanachi wake wapo huru
4 Kuna uhuru wa kuabudu
5 uhuru wa kuvaa
6 uhuru wa kula
Sasa sijui kama Kuna atakaeweza kuingilia uhuru wa mwenzie maana hata wao wakisema wanachukizwa Na walevi hatuwezi kukemea vilevi...
Asante sana mheshimiwa kikwete kwa kuendelea kutuongoza kwani bado tunakuhitajia sana aiseee honest myonge mnyongeni kikwete yupo Imara makini sana na anakwenda na sistem ya kisasa kama Obama kwanza akiongea anatulia maneno yake mazuri hodari wa kuongea na mengi mazuri aliyotufanyia japo hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.