1.Lilikopwa lini
2.Ulikuwa ni mkopo kwa ajili ya nini
3.Kwa nini halikuwahi kilipwa au kwa nini halijalipwa?
4.Lilianza kuwa deni lini???
*Kuna usanii unaendelea hapa, bila mchanganuo wa hili deni itasumbua vichwa vya wananchi wengi!
Nijuavyo mimi: Nguvu inayosababisha tamaa ya ngono kwa mwanaume ni sawa sawa na nguvu inayosababisha tamaa ya ngono kwa mwanamke. Nguvu hii haijalishi umeoa au umeolewa, muwako wa tamaa hauangalii hilo. So always if you are maried or have a relationship with someone, nguvu hii lazima unapigana...
Madawa mengi y kupunguza unene yamekuwa yanabahatisha sana wengine wanakwambia yanafanya kazi na wengine hayafanyi kazi. Ningekushauri hivi:
1. Kuacha kula mchana inasababisha mara nyingi kuuchanganya mwili, hivyo unaupa mwili meseji tofauti na wakati mwingine mwili unashtuka sana. Na unapokuja...
Lowassa atasema jambo lolote analofikiri kichwani kwake kuwa litamsafisha, litamfanya akubalike katika mioyo ya wahanga wake. Lowassa we are all your victims. We surely deserve some respect - kuwa haya mawazo ni mazuri. Lakini sio mawazo yako!!!!!! Huyajui, huyaamini, unajisemea tuuu! Tunataka...
Hapa suala ni kuwa kuna upofu wa hekima unaoendelea kutoka katika kambi ya CCM. Ukiangalia sana unaweza kukuta hata pesa huwa wanapeana kusaidiana kwenye chaguzi. Ni upofu huu anaozaa ujeuri wa kutoa majibu rahisi katika mambo ambayo yanahusu mustakabali wa kitaifa. Hili suala linaingilia sana...
Nadhani hawa wazanzibari ni kelele nyingi wakati vitendo sifuri. Wenye pesa zanzibar ni waarabu wachache sana. walio wengi wamegubikwa na utaabani wa umaskini uliolithiri. Tatizo wanakuwa na kisingizio kuwa kiini cha umaskini wao ni muungano. Well, wanaaminishwa pia kuwa wakitoka kwenye muungano...
Lukosi, kama ulifukuzwa usalama wa taifa kwa tatizo la kimaadili, nadhani unapaswa sasa utafute solution. Una shida ya pupa, hasira, you are full of confusion. Uenyekiti wa chama kama cha chadema ulikuwa mkubwa sana ukilinganisha na kichwa chako.
Wewe ulianza Uenyekiti kwa makeke, kelele nyingi...
Tatizo la watanzania walio wengi wanaingia kila mahali kutaka kujaza matumbo yao. Huyu jamaa ni akili ndogo sana. he is seriously emotional guy and usually thinks with his emotions. CHADEMA waliingiwa na shetani gani kumpa uenyekiti sijui, lakini ilikua ni suala la muda tu kujua huyu jamaa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.