Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
Niko poa kabisa
Kweli uko poa, nimeona hata mimi.
Niko poa kabisa
Vp na wewe??
kapungua miwani babu weMbona yupo vilevile?
Tuongee huko bora
Niko poa, japo si unaju binadam majanga hayatuishi.
tutaongea pm
Mdogo wangu analijua hilo kama mnapelekana PM?Kama mkitaka nisiwasemee na mie niambieni mnaongea nini huko PM😀
Hivi wewe mwanamke nini kimekuleta huku jamani!!!!!!!!!!!!
Tunaenda kumfundishana mwandiko, na hisabati bhana
Mhhhhh!!!Sidanganyiki na msiponiambia ujue kesho nalianzisha:banghead:
Heee! we mwanamke mbona mpana kama pazia la sinema
Tunafundishana 24hrs ili tuelewe we si unajua hisabati zilivyongumu.
Heee! we mwanamke mbona mpana kama pazia la sinema
Tunafundishana 24hrs ili tuelewe we si unajua hisabati zilivyongumu.
Lol!!!! Mpana kama pazia la sinema!!! Nimeongeza msamiati
Itabidi niwaseme tu maana nidhihirishe huo upana wangu