MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,411
tunakopa mpaka Iran?
Sasa kama wazungu wanazingua inabidi tutafute popote. Usije shangaa tukakopa Drc.
tunakopa mpaka Iran?
hata uki harmonize haiwezi kuika USD 77bl. ila kama ni Tshs, nakubali, na 77bl tshs tungemwomba hata Reginald mengi tu au hata manji angeweza kuwapatia ili tuachane nao.hahaha
labda alimaanisha 77mil Usd
Juzi US wame hoji matumizi mabaya ya madaraka na kuyafungia magazeti wapuuzi humu ndani wakasema Hawayahusu, sasa mbona serikali yenu inarudi kenda kuomba msamaha wakati matumizi ya pesa hiyo hatujui yalikuwaje sisi Watanzania ? Kwa nini kwa hili mnaenda na wakiuliza kuhusu hadi za binadamu mnasema haiwahusu ?
Its absolutely wrong figure, even the whole Tanzanian debt has not gone beyond 40 billion USD.77 Billion USD? Is that figure correct?
Mkuu hiyo data haiko sawa, Ruge kalipwa 75 million USD, usichanganye shilingi na dollar. Hata hilo gazeti limeandika wrong information. Deni jumla la Tz duniani halizidi 40 billion USD. Hiyo 77 billion USD sio data ya kweli.Nchi imezoea vya bure. Wanakopa wanatumia wanavyojua wao halafu wanataka huruma wasilipe deni. Ni aibu sana kwenda kulia ufutiwe deni la dola bil 77 wakati juzi tu Ruge kalipwa kiasi kama hicho na yeye kagawia masela wako.
Mkapa alipunguziwa madeni lakini JK kashakopa sasa tudaiwa kuliko hata ilipokuwa enzi za Mkapa.
Tatizo ni nini?Hivi ni laana tunayo sisi Watz au ni nini? Kwa nini tunakopa halafu hatutaki kulipa? Na hizo hela tunafanyia nini? Mbona hakionekani kilichofanyika?
Mkuu hiyo data haiko sawa, Ruge kalipwa 75 million USD, usichanganye shilingi na dollar. Hata hilo gazeti limeandika wrong information. Deni jumla la Tz duniani halizidi 40 billion USD. Hiyo 77 billion USD sio data ya kweli.
Nchi imezoea vya bure. Wanakopa wanatumia wanavyojua wao halafu wanataka huruma wasilipe deni. Ni aibu sana kwenda kulia ufutiwe deni la dola bil 77 wakati juzi tu Ruge kalipwa kiasi kama hicho na yeye kagawia masela wako.
Mkapa alipunguziwa madeni lakini JK kashakopa sasa tudaiwa kuliko hata ilipokuwa enzi za Mkapa.
Tatizo ni nini?Hivi ni laana tunayo sisi Watz au ni nini? Kwa nini tunakopa halafu hatutaki kulipa? Na hizo hela tunafanyia nini? Mbona hakionekani kilichofanyika?
Bro jibu swali . Je tunadaiwa hata kama gazeti limekosea figure ? Tulikopa tukafanyia nini ?
tunakopa mpaka Iran?
![]()
The government plans to send a team from the Treasury to Iran for negotiations on repayment of USD 77bn/- that Tanzania owes that country.
The minister of Foreign Affairs and International Co-operation, Bernard Membe, said this yesterday when he addressed journalists in Dar es Salaam.
In the presence of the Iranian Foreign Affairs minister, Mohammad Javad Zarif, Membe said the aim of sending the team was to chart the way forward regarding the debt.
The Iranian minister is in Tanzania with a group of investors to scout for investment opportunities.
We will soon send the team to find out how Iran can reduce or write off the said debt, he said, noting that it has been increasing as a result of accumulating interests.
However, Membe did not mention the reason for the country to borrow the money and when it did so.
On relationships between the two countries, the two ministers signed a Memorandum of Understanding (MoU) on Reciprocal Promotion and Protection of Investment.
Membe said Tanzania has for a long time enjoyed the bilateral relationships it had with Iran, noting:
The main aim is to cement relationships between our two countries and increase investment opportunities.
According to Membe, they held discussions on how each country can promote business and investment opportunities.
For his part, the Iranian Foreign Affairs minister, Mohammad Javad Zarif, said his country has for a long time been a true friend of Tanzania and Africa as a whole.
He said Iran would still remain by the side of Africa through developing it in various spheres.
We decided to come to Tanzania with a group of investors to look for available investment opportunities in various sectors. We also want to see how we can partner with local investors, he noted.
Zarif said Iran appreciates Tanzanias continuous support in various aspects.
He mentioned some as trying to convince the world that his countrys uranium was only meant for power production and not atomic production.
He pledged that Iran will continue to be very active in supporting Tanzanias health and education sectors.
Source: The Guardian
Ahaa! Ok nilitaka kuweka sawa kumbukumbu, lakini hakuna justification yoyote ya Tanzania kukopa kwasababu pesa nyingi inapotea kwa kupitia rushwa. Kwa hiyo kabla hatujakopa tulitakiwa kwanza kuimarisha makusanyo na kudhibiti rushwa.Bro jibu swali . Je tunadaiwa hata kama gazeti limekosea figure ? Tulikopa tukafanyia nini ?