Chilisosi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2008
- 3,051
- 747
Vipi mchungaji , mambo yanasemajeKama uko hapa ratiba yako kesho ikoje? Kikao wapi? Utasema kuwa Mbowe kaja Londoni hajakutafuta ? .......
Vipi mchungaji , mambo yanasemajeKama uko hapa ratiba yako kesho ikoje? Kikao wapi? Utasema kuwa Mbowe kaja Londoni hajakutafuta ? .......
Hii boti ipo salama kweli?
Nipo hapa nakusikia mkuuHuyu Chris Lukosi yupo humu?
Nimeamini kila mtu ndani ya Chadema ananunulika, tatizo bei.
Kesho naenda ofisini kwangu kama kawaida, hiyo ndio ratiba yangu,Kama uko hapa ratiba yako kesho ikoje? Kikao wapi? Utasema kuwa Mbowe kaja Londoni hajakutafuta ? .......
Nipo hapa nakusikia mkuu
Habari kama hizi naona ndizo unazotaka! Na leo napo utashindia hapa mithili ya nzi anayetaka kufia kwenye kidonda!!!
Kaaazi kweli kweli.Huyo mwenyekiti aliyetemwa si alikuwaga polisi bongo akatemwa kwa ajili ya madili na majambazi? CDM walimuokotea wapi huyu mwizi?
Habari zilizopatikana hivi punde kutoka kwenye vikao vya CHADEMA kupitia Kurugenzi ya Mambo ya Nje, Mwenyekiti wa CHADEMA tawi la London Bwana. Lukosi, amesimamishwa kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA London kutokana na maswala ya kinidhamu.
Inasemekana Bw. Lukosi alienda nchini Tanzania mwezi Septemba mwaka huu na kukutana na wakuu wa Serikali ambapo aliahidiwa kupewa tenda kubwa ya kuclear mizigo ya Serikali. Kutokana na ahadi hiyo Bw. Lukosi alirudi jijini London na kuanza kuivuruga CHADEMA hali ambayo imesababisha kusimamwishwa kwake kuwa mwenyekiti wa CHADEMA -LONDON.
Stay tuned for more details...