naamini na nina uhakika kuwa nitampata tu mkuu kwani hakuna kinachoshindikana duniani na sidhani kama ni vyema kuhalalisha mapungufu ya wanawake wachache ambao pengine wewe umeshakutana nao basi ukayahalalisha kwa wanawake wote.
1. si mpenda pesa
2. si mwenye dharau
3. si mwana wa shetani
4. si muongo na mbabaishaji
5. si malaya / muhuni
6. si mwizi na mchawi
7. si mpumbavu na mnafiki
wasifu wangu kiufupi
majina: cellulaire mjukuu chirama
dini: mkristo wa dhehebu la katoliki
kabila: myao kutoka mkoani lindi
umri...
Yaani Intelligence ya Tanzania ipoteze muda wake Kukutafuta Wewe Mkuu? Kama ni kweli inafanya hivyo Kwako basi hata Mimi nitaidharau mno kwani kwa aina ya Uwasilishaji wako hapa Jukwaani sijaona ni wapi Wewe ni Tishio Kwao kiasi kwamba waanze Kukujadili na Kukuwinda kama ambavyo unajimwambafai...
Na Sisi ambao tuko nawe hapa JamiiForums tutajiridhishaje kuwa pengine na Wewe ambaye hapa upo kwa Jina la Kificho ndiyo ukawa una Roho mbaya ambayo hata Shetani hana?
Hata ukijitaidi Kuwashauri ila usisahau ya kwamba hakuna Kipindi ambacho Mwanamke akili zake huwa zinahama na huwa yupo tayari kwa lolote lile na wala hatojali kama pale akiwa ameandaliwa vyema na aliyenae huku akiwa anasuguliwa vizuri na Utamu unakoloea huku akiona dunia yote hii ni yake. Na...
Wanawake huwa na Desturi ya Kusimuliana ni Mwanaume gani huwa anagawa sana Pesa au anajua Kutunza ili nao wajitupe wakajaribu bahati. Yawezena huyu Binti labda nae ana Ushosti na Wakubwa zake wa Uwekezaji, Kisarawe Shambani bila Kumsahau na wa Bamaga mkabala na TSN Petro Station pamoja na wa...
Yawezekana huyo Mbunge akawa ama anasumbuliwa na haya mambo matatu kwa pamoja au moja wapo
1. Ana matatizo makubwa ya Akili yanayokimbilia Yeye muda wowote kuwa Mwendawazimu.
2. Pengine huwa akipanda hizo Ndege huwa anabahatika Kukaa Siti za Wanaume na huwa anaumia kuona hao Wanaume wakiwa...
Mpaka hivi sasa bado natafuta Mantiki ya Kumfukuza Askari Nyumbani Kwako ambako umempangisha kwa sababu tu za Kisiasa na Hasira. Askari Kufukuzwa kuna Uhusiano gani za matatizo ya Kiuchaguzi au ya Kisiasa? Hivi ukija kuwa Mzee na ukasikia nawe Mwanao ambaye labda amekuwa Askari nae akifanyiwa...
Kwamba ukiona wanawake wanaenda sana nyumba za ibada na wanakuwa wacha Mungu jua ya kwamba huko nyuma walikuwa hawajatulia.
Wameshafanya kila aina ya ukatili hasa kwa wanaume mbalimbali. Wametoa mimba zisizo na idadi na kwamba wameroga hadi hata Shetani mwenyewe amebaki kuwashangaa.
Na kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.