Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,428
- 11,836
mkuu kama sheria inampa mamlaka askari kukusimamisha na kukuhoji,ni ukichaa kuuliza anakusimamishia kitu gani.ndio maana jibu huja USIHOJI.
kuhoji huzalisha mashaka zaidi kwa askari,na kumuongezea umakini kukukagua ambao utasababisha upotevu zaidi wa muda.
NOTE msikariri kwamba kuna askari wa barabarani,askari polisi yoyote unayemjua,awe FFU au sijui nani,anayo mmlaka ya kukusimamisha kukuhoji na kukukamata.hizo rangi za nguo ni za vitengo vyao vya upolisi,ambavyo havibadili kabisa jukumu lao la msingi(UPOLISI).kifupi mwenye mamlaka ya kuhoji uhalali wa ffu kuwepo barabarani ni askari mwenzie sio mwananchi wa kwaida.wewe tii amri utakayopewa.
Wewe mimi ninachokiandika nakielewa na hata boss wao IGP anasemaga kupitia vyombo vya habari askari wanaposimamisha mwananchi wanawajibu wa kumwambia sababu ya kumsimamisha na ndivyo kanuni zinavyotaka kiutendaji katika haki za binadamu!
Wewe baki na nidhamu zako za woga!



