Kuharibu Uchaguzi wa Serikali za Mtaa utaligharimu Taifa

My Son drink water

JF-Expert Member
Nov 30, 2016
4,932
13,283
Yaani kila kitu mnaleta mzaha, mmevuruga Uchaguzi wa Serikali za mitaa wakati pesa nyingi za walipa kodi maskini zilitumika kuandaa Uchaguzi.

Siku za nyuma Ubalozi wa Marekani ulitoa tahadhari juu ya uwezekano wa mashambulizi ya kigaidi kutokea Dar es salaam, badala ya kuomba ushirikiano na hiyo Serikali kubwa na yenye nguvu kuliko zote Duniani, eti Serikali yetu pendwa ikau summon Ubalozi wa US ili ujieleze juu ya Taarifa yake hiyo.

Dunia yote iko kwenye viganja vya Marekani, sisi hata East Africa tu haipo hata mgongoni.

Sasa mauaji ya kikatili na kishenzi yaliyofanywa kwa watanzania sita, mbona Vyombo vya usalama vilishindwa kuzuia?
Wakati Marekani inatoa tahadhari, mlijigamba Eti nchi iko salama, salama kwa lipi?

Hao magaidi wameanza siku nyingi kupanga hujuma zao dhidi ya nchi yetu na tena tunaambiwa wengi huwa wanashinda kwenye nyumba za ibada wakijifanya Kama watu wema kumbe wauaji.

Intelligence yetu inawaza kuwadhoofisha kina Mbowe na namna ya kuwapata kina My Son drink water wanaokosoa Serikali na siyo ku stabilize usalama wa nchi.

Magaidi siyo watu wa mzaha, mara nyingi wanakuwa na connection na wazaha wa eneo husika wanakotaka kufanyia ugaidi.

Ujinga wanaofanya utaligharimu Taifa Kama mmebakia kuendekeza siasa na kupuuza usalama wa nchi.

Boko Haram ya Nigeria ilianza hivi hivi, leo hii haizuiliki.
 
Hao us walitoa tahadhar kwenye maeneo gani? Na ilikuwa lini?
Mtaacha lini unafki? Mkiru magaidi walijiingiza na jeshi letu la kikos kazi lilimaliza tatzo hilo mkaanza kulaumu kuwa kwanini wameuwawa bila kufikishwa mahakaman..
Bado hujaeleweka ni nini unataka
 
Sitaki kuamini bado wameshindwa kupandikiza watu huko msikitini ili kuweza kuwabaini hao Wauaji, Tuwe na Imani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, ipo siku hao wanaojinadi kuwa magaidi kufurumushwa na pengine kuuawa kabisa.
 
Sitaki kuamini bado wameshindwa kupandikiza watu huko msikitini ili kuweza kuwabaini hao Wauaji, Tuwe na Imani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, ipo siku hao wanaojinadi kuwa magaidi kufurumushwa na pengine kuuawa kabisa.
Bado siwezi kuliamini jeshi linalipoteza muda na rasilimali kupambana na vyama vinavyotafuta kuungwa mkono na wananchi kwa njia za wazi, badala ya kupambana na uchumi wetu ukue au na magaidi ambao hatuwaoni.
 
Hawana uwezo huo kwa sababu Kwanza TISS imeajiri mambumbumbu ya UVCCM, Soma mada zangu kuanzia Part -1,za TISS Bado safari ngumu, utaelewa
Nimekuwa nikikufuatilia sana, waliwezaje kuzima wale magaidi waliokuwa wanasumbua kule kibiti? ningependa watumie mbinu zilezile walizotumia kuwakabili wale magaidi kule huwenda mipaka yetu ikawa salama. Maana kwa hili watanzania waishio mipakani hawatokuwa na amani tena.
 
Bado siwezi kuliamini jeshi linalipoteza muda na rasilimali kupambana na vyama vinavyotafuta kuungwa mkono na wananchi kwa njia za wazi, badala ya kupambana na uchumi wetu ukue au na magaidi ambao hatuwaoni.
Mkuu hata kwa kidogo walichofanya vyombo vyetu vinapaswa kupongezwa na kutiwa morali zaidi. Ukiangalia katika ukanda wa maziwa makuu nchi yetu ndio iko na amani ya kudumu, tujaribu kuwa wazalendo jamani. Kuhusu suala la uchumi ni vyema kukawa na kitengo maalamu hata cha kuiba teknolojia kwa nchi za wenzetu kama walivyofanya china miaka ya nyuma na hakika mambo mazuri yanakuja tuwe na imani na vyombo vyetu vya ulizni na usalama
 
Yaani kila kitu mnaleta mzaha, mmevuruga Uchaguzi wa Serikali za mitaa wakati pesa nyingi za walipa kodi maskini zilitumika kuandaa Uchaguzi.

Siku za nyuma Ubalozi wa Marekani ulitoa tahadhari juu ya uwezekano wa mashambulizi ya kigaidi kutokea Dar es salaam, badala ya kuomba ushirikiano na hiyo Serikali kubwa na yenye nguvu kuliko zote Duniani, eti Serikali yetu pendwa ikau summon Ubalozi wa US ili ujieleze juu ya Taarifa yake hiyo.

Dunia yote iko kwenye viganja vya Marekani, sisi hata East Africa tu haipo hata mgongoni.

Sasa mauaji ya kikatili na kishenzi yaliyofanywa kwa watanzania sita, mbona Vyombo vya usalama vilishindwa kuzuia?
Wakati Marekani inatoa tahadhari, mlijigamba Eti nchi iko salama, salama kwa lipi?

Hao magaidi wameanza siku nyingi kupanga hujuma zao dhidi ya nchi yetu na tena tunaambiwa wengi huwa wanashinda kwenye nyumba za ibada wakijifanya Kama watu wema kumbe wauaji.

Intelligence yetu inawaza kuwadhoofisha kina Mbowe na namna ya kuwapata kina My Son drink water wanaokosoa Serikali na siyo ku stabilize usalama wa nchi.

Magaidi siyo watu wa mzaha, mara nyingi wanakuwa na connection na wazaha wa eneo husika wanakotaka kufanyia ugaidi.

Ujinga wanaofanya utaligharimu Taifa Kama mmebakia kuendekeza siasa na kupuuza usalama wa nchi.

Boko Haram ya Nigeria ilianza hivi hivi, leo hii haizuiliki.
Natamani kusema kitu ila sina hakika kama nitasikika
 
Hao us walitoa tahadhar kwenye maeneo gani? Na ilikuwa lini?
Mtaacha lini unafki? Mkiru magaidi walijiingiza na jeshi letu la kikos kazi lilimaliza tatzo hilo mkaanza kulaumu kuwa kwanini wameuwawa bila kufikishwa mahakaman..
Bado hujaeleweka ni nini unataka
Unaishi wapi wewe pungu..?
 
Yaani kila kitu mnaleta mzaha, mmevuruga Uchaguzi wa Serikali za mitaa wakati pesa nyingi za walipa kodi maskini zilitumika kuandaa Uchaguzi.

Siku za nyuma Ubalozi wa Marekani ulitoa tahadhari juu ya uwezekano wa mashambulizi ya kigaidi kutokea Dar es salaam, badala ya kuomba ushirikiano na hiyo Serikali kubwa na yenye nguvu kuliko zote Duniani, eti Serikali yetu pendwa ikau summon Ubalozi wa US ili ujieleze juu ya Taarifa yake hiyo.

Dunia yote iko kwenye viganja vya Marekani, sisi hata East Africa tu haipo hata mgongoni.

Sasa mauaji ya kikatili na kishenzi yaliyofanywa kwa watanzania sita, mbona Vyombo vya usalama vilishindwa kuzuia?
Wakati Marekani inatoa tahadhari, mlijigamba Eti nchi iko salama, salama kwa lipi?

Hao magaidi wameanza siku nyingi kupanga hujuma zao dhidi ya nchi yetu na tena tunaambiwa wengi huwa wanashinda kwenye nyumba za ibada wakijifanya Kama watu wema kumbe wauaji.

Intelligence yetu inawaza kuwadhoofisha kina Mbowe na namna ya kuwapata kina My Son drink water wanaokosoa Serikali na siyo ku stabilize usalama wa nchi.

Magaidi siyo watu wa mzaha, mara nyingi wanakuwa na connection na wazaha wa eneo husika wanakotaka kufanyia ugaidi.

Ujinga wanaofanya utaligharimu Taifa Kama mmebakia kuendekeza siasa na kupuuza usalama wa nchi.

Boko Haram ya Nigeria ilianza hivi hivi, leo hii haizuiliki.

Yaani Intelligence ya Tanzania ipoteze muda wake Kukutafuta Wewe Mkuu? Kama ni kweli inafanya hivyo Kwako basi hata Mimi nitaidharau mno kwani kwa aina ya Uwasilishaji wako hapa Jukwaani sijaona ni wapi Wewe ni Tishio Kwao kiasi kwamba waanze Kukujadili na Kukuwinda kama ambavyo unajimwambafai hapa Kwetu. Kuna Watu mnapenda Kujifanya mna Umuhimu kuliko Watanzania wengine sijui kwanini.
 
Sitaki kuamini bado wameshindwa kupandikiza watu huko msikitini ili kuweza kuwabaini hao Wauaji, Tuwe na Imani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, ipo siku hao wanaojinadi kuwa magaidi kufurumushwa na pengine kuuawa kabisa.
Tanzania hakuna ugaidi, tunapenda kukuza mambo tu. Wapo watu watakaofanya vurugu za hapa na pale : Lakini ule ugaidi wa Mashariki ya kati wa makundi kama Daesh, The Mujahedeen, Al Qaeda usikie tu kwenye redio. Ungekuwepo hapa Tanzania sidhani kama pangekalika na ingehitaji kuwa na taasisi za ujasusi zenye viwango ambavyo binafsi naamini bado hatujavifikia.

Lakini upande wa pili wa shilingi ni kwamba ule mtandao hauna sababu yoyote ile ya kuanza kupambana na nchi ya Tanzania kwa kipindi hiki, labda huko baadae.
 
Tanzania hakuna ugaidi, tunapenda kukuza mambo tu. Wapo watu watakaofanya vurugu za hapa na pale : Lakini ule ugaidi wa Mashariki ya kati wa makundi kama Daesh, The Mujahedeen, Al Qaeda usikie tu kwenye redio. Ungekuwepo hapa Tanzania sidhani kama pangekalika na ingehitaji kuwa na taasisi za ujasusi zenye viwango ambavyo binafsi naamini bado hatujavifikia.

Lakini upande wa pili wa shilingi ni kwamba ule mtandao hauna sababu yoyote ile ya kuanza kupambana na nchi ya Tanzania kwa kipindi hiki, labda huko baadae.
Mkuu kama nilivyosema ni vikundi kundi uchwara tu amabavyo vinajisabu kuwa ni vya kigaidi. Na vikundi hivi vikiachwa ndio vinakuja kukomaa na kuleta madhara kwa siku zijzo, hivyo ni vyema hivyo vikundi vikasakwa kwa gharama yoyote ili kuvizima kabisa.
 
How did those terror group begin?
Usirahisishe mkuu, makundi ya kigaidi huanza Kama mvua za vuli

Makundi makubwa ya kigaidi hutumia mianya ya kisiasa ya nchi fulani kuweza kufanikisha mipango yao: Lakini yenyewe huwa na ajenda zake binafsi ambazo siyo za kisiasa japo huwa yanatumia siasa kama chombo.

The Mujahedeen, Daesh na Al Qaeda siyo makundi ya wapigania uhuru kama ambavyo unataka tuamini hapa na wala hayakuanzishwa na wataka mabadiliko: It's an International Cult.

Nchini Syria na Iraq walifikiri hivihivi na kuwapa silaha kabisa na msaada kwamba ni wataka mabadiliko: Unajua kilitokea nini ???
 
Mkuu kama nilivyosema ni vikundi kundi uchwara tu amabavyo vinajisabu kuwa ni vya kigaidi. Na vikundi hivi vikiachwa ndio vinakuja kukomaa na kuleta madhara kwa siku zijzo, hivyo ni vyema hivyo vikundi vikasakwa kwa gharama yoyote ili kuvizima kabisa.

Vile vikundi havikuwa uchwara, vilijipanga na kuleta madhara makubwa. Japo sidhani kama vilikuwa ni magaidi kama ambavyo tunawafahamu. The concocted terror acts but they were not terrorists, A dangerous International Cult hellbent on anarchy and destruction.
 
Sitaki kuamini bado wameshindwa kupandikiza watu huko msikitini ili kuweza kuwabaini hao Wauaji, Tuwe na Imani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, ipo siku hao wanaojinadi kuwa magaidi kufurumushwa na pengine kuuawa kabisa.
Hata aliye mteka mo kawashinda kukamata
 
Back
Top Bottom