Hili swala limekaa vibaya, tukumbuke kwamba degree zimekua nyingi miaka hii ya 2000 zaidi sana 2005 nakuendlea. Watumishi wengi (baba na mama zetu) waliopta degree zao kupitia mature entry. Ukiwatoa wote hizi ofisi hazitaenda
Wewe mbona mtoto sana, kwa nini unakata tamaa mapema hivyo wakati huo ndio umri sahihi wa kuolewa, na wenye 35+ watasemaje? Jitunze, jiheshimu wanaume wakuoa bado wapo wengi wanakuchunguza Kwanza.
Utawala wa Sheria ni mzuri endapo sheria zinafwatwa na kutekelezwa na pande zote zinazohusika (watawala na watawala) lakini km upande mmoja unaona wenyewe ni bora zaidi ya mwingine ni dhahiri kwamba utawala utakua mgumu
Km walisitishwa kwa mambo ya kinidhamu na uchunguzi umefanyika na kugundulika hawana hatia au wanastahili adhabu ndogo (onyo) ni halali yao kurejeshwa makazini kwao. Wapo wengi waliorejeshwa kwa staili hiyo ila pesa hakuna
Mimi naona limekaa poa. Kwanza unawapunguzia mwalimu wa darasa la kwanza mzigo ukilinganisha watoto wanakua wengi kiasi kwamba hawezi kuwamudu wote na mazingira si rafki. Lakini pia ni bora ajue mapema kusoma, kuandika na kuhesabu kuliko amalize darasa la Saba hajui lkn lakushangaza utakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.