Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,112
- 4,663
Wanajamvi hili jambo limekaaje? Watoto wanaoingia darasa la kwanza wanafanyiwa face to face interview na wakishindwa wanarudi nyumbani hata kama miaka inamfaa aanze darasa la kwanza.
Hivi mtu anamaliza chuo lakini kwenye interview anahangaika, sasa mtoto wa chekechea unamfanyia usahili wa ana kwa ana unampa maneno asome akishindwa anarudi ndo atawezaa?
Hivi mtu anamaliza chuo lakini kwenye interview anahangaika, sasa mtoto wa chekechea unamfanyia usahili wa ana kwa ana unampa maneno asome akishindwa anarudi ndo atawezaa?