You know shida yangu hapa sio huyu mwanamke no,coz mwanamke nilishaachanane kitambo sana almost mwaka hatuna mawasiliano na kwa mazingira haya mwanaume yeyote angemchukua,tatizo langu ni huyu rafiki yangu ninayemtrust kunifanyia suprise-za kishamba.Endelea na shughuli zako hakuwa wako
Huyo demu wako atakuwa miongoni mwa makontena ya mama salma kikwete maana walivyomwagwa utafikiri unga wa wakimbizi jamani!Hapo tumaini nina demu wangu, mtakua mnamtafuna sana nyie wahuni mamaee......Ila Iringa kwa UKIMWI unatakiwa uwe makini sana laaah sivyo utakua unaruka sarakasi kwenye transformer kila siku
Sorry am joking! si unajua tena huu mchezo hauhitaji hasira wajameni!Hapo tumaini nina demu wangu, mtakua mnamtafuna sana nyie wahuni mamaee......Ila Iringa kwa UKIMWI unatakiwa uwe makini sana laaah sivyo utakua unaruka sarakasi kwenye transformer kila siku