Biblia inasema Mat 11:28-30 "Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao nakulemewa na mizigo, nami nitawapunzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni raini na mzigo wangu ni mwepesi." Kulingana na...
Yesu kristo ndiye tabibu wa kweli ukiamini kuwa anaponya hakika atakuponya hilo nitatizo dogo sana kwake, kumbuka kuwa anakuponya kulingana na kiwango cha Imani yako. Tutazidi kukuombea kwake naye sikio lake siyo zito atakusikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.