Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,017
- 1,733
wapole kwa lipi hapo ni mahakama gani iliyodhibitisha hilo mbona wenye dola hawapeki suala hili mahakamani.wangekuwa hawajawahi kusema hivyo wangetusumbua sana hao politicians sema kwa kuwa walishasemaga inabidi wawe wapole tu hawana jinsi maneno hayo hayawezi kufutika sasa