Biblia inasema Mat 11:28-30 "Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao nakulemewa na mizigo, nami nitawapunzisha. Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu; kwa maana nira yangu ni raini na mzigo wangu ni mwepesi." Kulingana na maelezo uliyotoa hayaendani kabisa na maandiko haya, yeye YESU KRISTO MNAZARETHI ALIYE HAI nira yake ni nyepesi sidhani kuwa huyo ni yeye labda ni bandia. Ua una hallucinate kwa kweli ndio maana ukasema una schizophrenia sikatai. Mchango wangu ni kwamba nenda kwa watumishi wa Mungu walio karibu nawe watakuongoza; Ahsante.Ndugu yangu namuamini sana YESU kuwa yupo lkm imani yangu kivingine kabisa sababu nilipokuwa na hiyo vission nilikuwa natembezwa umbali mkubwa sana kwa miguu kule spain na sauti kichwani mda wote ilikuwa inaniambia kuwa nisijari yeye ni yesu cha ajabu nilikuwa nasikia maumivu makali sana kichwani kiasi cha kwamba nilikuwa namuomba MUNGU aniondolee icho kitu km kilikuwa ni kibaya kwangu . Kuna siku akanitokea YESU mwenyewe ktk mazingira anayotamburika ya Mzungu lkn cha ajabu nilipomfuata kutaka anisaidie alinikana katu katu kitu ambacho nilikishangaa sana . Sababu tangu nipo huko TZ nimekulia ktk mazingira ya kikristo tangu mdogo nilikuja kushangaa YESU kunikataa kunisaidia wkt najuwa YESU ktk istoria ya maisha yake uwa akatai mtu . Kwaiyo naamini yesu lkn naamini kuwa alikuwa mweusi na kipindi kile cha 06/06/2006 ndo alitakiwa aje akiwa km mtu mweusi kuukomboa ulimwengu lkn wazungu wamemkataa kw sababu wanazozijuwa wenyewe au nikizisema sijui nani ataamini . Kwaiyo basi napokea maombi yenu ikiwa km kweli mtafanya hivyo ,asante !