Nimeshidwa kuacha kukujibu japo muda mwingi umepita. Mimi kama raia sijawai kuipigia CCM toka nizaliwe. Na mgombea uraisi wakwanza kumpigia kura ni mrema. Kipindi cha mwinyi niliona watu wakizulumiwa nyumba na ardhi na jeuri ya wauza madawa kutoka zenji na watoto wa majirani kuaribikiwa na...
Mkuu siafazali bibilia maana wanasema kuruani waliichakachua kipindi cha kaliphate ya mawaiya (kama sijakosea jona) na wakachoma vitabu vingine vyote.
Dini zote hata za waafika kama dini ya kinjekitile zilikua ni mbinu ya kutawala kama sera ya viwanda
Lakini bado njia pekee ni kuendelea kuahiriki katika uchaguzi hata kama watakubambikizia kesi. Najua sio rahisi kupata watu wanaoweza kujitoa muhamga koasi hicho. Lakini ndio njia pekee ya kupambana na madikteta. Ndio maana kagame anamwogopa yule dada maana amethubitu kuto mwogopa kagame na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.