Miaka miwili ya Magufuli sikuthubutu kusema neno, sababu...

Miaka miwili ya Magufuli sikuthubutu kusema neno, sababu...

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,367
Reaction score
2,407
Wengi wameandika baada ya mwaka mmoja na hata miwili ya utendaji wa Rais Magufuli. Sikufanya hivyo, kwasababu sikujua tunakoelekea lakini leo ninajua anakotupeleka na hata jina la kituo au mji ukipenda.

Kwanza nianze kwa kusema ni makosa makubwa kudhani kuwa kinachotokea Ikulu ni mawazo ya Magu tu, nilichokigundua mimi ni kwamba huo ni mpango wa CCM kwa kipindi cha miaka 5. Msiaminishwe hata kidogo kuwa Kinana, Mwinyi, Kikwete, Mkapa na wajumbe wa kamati kuu ya CCM hawakuwa pamoja katika kupanga yote yaliyotokea kipindi cha miaka miwili cha Magu akiwa madarakani. Na ndio maana wamekaa kimya kwa yote yanayotokea.

Kama Nape kwa hasira alivyodokeza kuwa CCM ilikuwa inakwenda shimoni, huu ni ukweli ambao wote wakubwa wa CCM walilifamu kutokana na RUSHWA NA UFISADI vitu ambavyo upinzani ilivipigia tarumbeta. Yafuatayo ndio Maamuzi ya wakubwa CCM.

1) Ni muhimu kuchagua kiongozi ambaye hatakuwa na urafiki na wana CCM, ili avunje mazoea ya kujuana. Akachaguliwa Magufuli

2) Kiongozi huyu apewe majukumu makali na atoe maamuzi makali si yenye tija kwa watanzania ila yawe na tija kwa CCM.
- ahakikishe demokrasia inatokomea, ikiwa ni pamoja na kuzuia upinzani kutoa mawazo yao na watanzania kwa jumla
-Kuzuia haki ya mamlaka ya mihimili mikuu ya nchi
-Kurubuni viongozi wa upinzani kuhamia CCM
- Kuvuruga upinzani kwa kuleta ugomvi ndani ya vyama hivyo.
3. Kuwaaminisha watanzania kuwa huwezi kupambana na RUSHWA NA UFISADI ila sharti uvunje demokrasia.

Hivyo tunakoenda si kwingine ila ni kujenga nchi ya chama kimoja kitachochukua hatamu.

Swali ni kwamba, hivi dunia na watanzania wapo tayari kwa hilo, hata kama tutafanikiwa zaidi kiuchumi?
 
Anachoamini Pole pole ni kwamba ukishawapata viongozi toka upinzani na kuwaingiza CCM ndio unakuwa umewatatulia matatizo yao watanzania na ni ushindi mkubwa kwa CCM. Mawazo hayo yamepewa baraka na Mwenyekiti wake.

Kumpokea mwanachama mmoja toka upinzani, inakubidi ukusanye viongozi wakubwa 20 wa CCM kumpokea, huku ni kukosa kazi na kuzorotesha mawazo ya Watanzania. Kwanini msipokeane huko ofisini kwenu?
 
Wengi wameandika baada ya mwaka mmoja na hata miwili ya utendaji wa Rais Magufuli. Sikufanya hivyo, kwasababu sikujua tunakoelekea lakini leo ninajua anakotupeleka na hata jina la kituo au mji ukipenda.

Kwanza nianze kwa kusema ni makosa makubwa kudhani kuwa kinachotokea Ikulu ni mawazo ya Magu tu, nilichokigundua mimi ni kwamba huo ni mpango wa CCM kwa kipindi cha miaka 5. Msiaminishwe hata kidogo kuwa Kinana, Mwinyi, Kikwete, Mkapa na wajumbe wa kamati kuu ya CCM hawakuwa pamoja katika kupanga yote yaliyotokea kipindi cha miaka miwili cha Magu akiwa madarakani. Na ndio maana wamekaa kimya kwa yote yanayotokea.

Kama Nape kwa hasira alivyodokeza kuwa CCM ilikuwa inakwenda shimoni, huu ni ukweli ambao wote wakubwa wa CCM walilifamu kutokana na RUSHWA NA UFISADI vitu ambavyo upinzani ilivipigia tarumbeta. Yafuatayo ndio Maamuzi ya wakubwa CCM.

1) Ni muhimu kuchagua kiongozi ambaye hatakuwa na urafiki na wana CCM, ili avunje mazoea ya kujuana. Akachaguliwa Magufuli

2) Kiongozi huyu apewe majukumu makali na atoe maamuzi makali si yenye tija kwa watanzania ila yawe na tija kwa CCM.
- ahakikishe demokrasia inatokomea, ikiwa ni pamoja na kuzuia upinzani kutoa mawazo yao na watanzania kwa jumla
-Kuzuia haki ya mamlaka ya mihimili mikuu ya nchi
-Kurubuni viongozi wa upinzani kuhamia CCM
- Kuvuruga upinzani kwa kuleta ugomvi ndani ya vyama hivyo.
3. Kuwaaminisha watanzania kuwa huwezi kupambana na RUSHWA NA UFISADI ila sharti uvunje demokrasia.

Hivyo tunakoenda si kwingine ila ni kujenga nchi ya chama kimoja kitachochukua hatamu.

Swali ni kwamba, hivi dunia na watanzania wapo tayari kwa hilo, hata kama tutafanikiwa zaidi kiuchumi?
hakuna mafanikio yoyote kiuchumi zaidi ya kulinda madaraka
 
Utawala wa kikagame kagame hapa utafeli tu, wanajidanganya.
Wengi wameandika baada ya mwaka mmoja na hata miwili ya utendaji wa Rais Magufuli. Sikufanya hivyo, kwasababu sikujua tunakoelekea lakini leo ninajua anakotupeleka na hata jina la kituo au mji ukipenda.

Kwanza nianze kwa kusema ni makosa makubwa kudhani kuwa kinachotokea Ikulu ni mawazo ya Magu tu, nilichokigundua mimi ni kwamba huo ni mpango wa CCM kwa kipindi cha miaka 5. Msiaminishwe hata kidogo kuwa Kinana, Mwinyi, Kikwete, Mkapa na wajumbe wa kamati kuu ya CCM hawakuwa pamoja katika kupanga yote yaliyotokea kipindi cha miaka miwili cha Magu akiwa madarakani. Na ndio maana wamekaa kimya kwa yote yanayotokea.

Kama Nape kwa hasira alivyodokeza kuwa CCM ilikuwa inakwenda shimoni, huu ni ukweli ambao wote wakubwa wa CCM walilifamu kutokana na RUSHWA NA UFISADI vitu ambavyo upinzani ilivipigia tarumbeta. Yafuatayo ndio Maamuzi ya wakubwa CCM.

1) Ni muhimu kuchagua kiongozi ambaye hatakuwa na urafiki na wana CCM, ili avunje mazoea ya kujuana. Akachaguliwa Magufuli

2) Kiongozi huyu apewe majukumu makali na atoe maamuzi makali si yenye tija kwa watanzania ila yawe na tija kwa CCM.
- ahakikishe demokrasia inatokomea, ikiwa ni pamoja na kuzuia upinzani kutoa mawazo yao na watanzania kwa jumla
-Kuzuia haki ya mamlaka ya mihimili mikuu ya nchi
-Kurubuni viongozi wa upinzani kuhamia CCM
- Kuvuruga upinzani kwa kuleta ugomvi ndani ya vyama hivyo.
3. Kuwaaminisha watanzania kuwa huwezi kupambana na RUSHWA NA UFISADI ila sharti uvunje demokrasia.

Hivyo tunakoenda si kwingine ila ni kujenga nchi ya chama kimoja kitachochukua hatamu.

Swali ni kwamba, hivi dunia na watanzania wapo tayari kwa hilo, hata kama tutafanikiwa zaidi kiuchumi?
Wengi wameandika baada ya mwaka mmoja na hata miwili ya utendaji wa Rais Magufuli. Sikufanya hivyo, kwasababu sikujua tunakoelekea lakini leo ninajua anakotupeleka na hata jina la kituo au mji ukipenda.

Kwanza nianze kwa kusema ni makosa makubwa kudhani kuwa kinachotokea Ikulu ni mawazo ya Magu tu, nilichokigundua mimi ni kwamba huo ni mpango wa CCM kwa kipindi cha miaka 5. Msiaminishwe hata kidogo kuwa Kinana, Mwinyi, Kikwete, Mkapa na wajumbe wa kamati kuu ya CCM hawakuwa pamoja katika kupanga yote yaliyotokea kipindi cha miaka miwili cha Magu akiwa madarakani. Na ndio maana wamekaa kimya kwa yote yanayotokea.

Kama Nape kwa hasira alivyodokeza kuwa CCM ilikuwa inakwenda shimoni, huu ni ukweli ambao wote wakubwa wa CCM walilifamu kutokana na RUSHWA NA UFISADI vitu ambavyo upinzani ilivipigia tarumbeta. Yafuatayo ndio Maamuzi ya wakubwa CCM.

1) Ni muhimu kuchagua kiongozi ambaye hatakuwa na urafiki na wana CCM, ili avunje mazoea ya kujuana. Akachaguliwa Magufuli

2) Kiongozi huyu apewe majukumu makali na atoe maamuzi makali si yenye tija kwa watanzania ila yawe na tija kwa CCM.
- ahakikishe demokrasia inatokomea, ikiwa ni pamoja na kuzuia upinzani kutoa mawazo yao na watanzania kwa jumla
-Kuzuia haki ya mamlaka ya mihimili mikuu ya nchi
-Kurubuni viongozi wa upinzani kuhamia CCM
- Kuvuruga upinzani kwa kuleta ugomvi ndani ya vyama hivyo.
3. Kuwaaminisha watanzania kuwa huwezi kupambana na RUSHWA NA UFISADI ila sharti uvunje demokrasia.

Hivyo tunakoenda si kwingine ila ni kujenga nchi ya chama kimoja kitachochukua hatamu.

Swali ni kwamba, hivi dunia na watanzania wapo tayari kwa hilo, hata kama tutafanikiwa zaidi kiuchumi?
 
Wengi wameandika baada ya mwaka mmoja na hata miwili ya utendaji wa Rais Magufuli. Sikufanya hivyo, kwasababu sikujua tunakoelekea lakini leo ninajua anakotupeleka na hata jina la kituo au mji ukipenda.

Kwanza nianze kwa kusema ni makosa makubwa kudhani kuwa kinachotokea Ikulu ni mawazo ya Magu tu, nilichokigundua mimi ni kwamba huo ni mpango wa CCM kwa kipindi cha miaka 5. Msiaminishwe hata kidogo kuwa Kinana, Mwinyi, Kikwete, Mkapa na wajumbe wa kamati kuu ya CCM hawakuwa pamoja katika kupanga yote yaliyotokea kipindi cha miaka miwili cha Magu akiwa madarakani. Na ndio maana wamekaa kimya kwa yote yanayotokea.

Kama Nape kwa hasira alivyodokeza kuwa CCM ilikuwa inakwenda shimoni, huu ni ukweli ambao wote wakubwa wa CCM walilifamu kutokana na RUSHWA NA UFISADI vitu ambavyo upinzani ilivipigia tarumbeta. Yafuatayo ndio Maamuzi ya wakubwa CCM.

1) Ni muhimu kuchagua kiongozi ambaye hatakuwa na urafiki na wana CCM, ili avunje mazoea ya kujuana. Akachaguliwa Magufuli

2) Kiongozi huyu apewe majukumu makali na atoe maamuzi makali si yenye tija kwa watanzania ila yawe na tija kwa CCM.
- ahakikishe demokrasia inatokomea, ikiwa ni pamoja na kuzuia upinzani kutoa mawazo yao na watanzania kwa jumla
-Kuzuia haki ya mamlaka ya mihimili mikuu ya nchi
-Kurubuni viongozi wa upinzani kuhamia CCM
- Kuvuruga upinzani kwa kuleta ugomvi ndani ya vyama hivyo.
3. Kuwaaminisha watanzania kuwa huwezi kupambana na RUSHWA NA UFISADI ila sharti uvunje demokrasia.

Hivyo tunakoenda si kwingine ila ni kujenga nchi ya chama kimoja kitachochukua hatamu.

Swali ni kwamba, hivi dunia na watanzania wapo tayari kwa hilo, hata kama tutafanikiwa zaidi kiuchumi?
Tunakwenda huko ambako semokrasia na siasa za kihuni hazina nafasi, na ndio maana chadema hawatakuwepo kwakuwa makazi yao yatakuwa makaburini kwa kukumbukwa
 
Wengi wameandika baada ya mwaka mmoja na hata miwili ya utendaji wa Rais Magufuli. Sikufanya hivyo, kwasababu sikujua tunakoelekea lakini leo ninajua anakotupeleka na hata jina la kituo au mji ukipenda.

Kwanza nianze kwa kusema ni makosa makubwa kudhani kuwa kinachotokea Ikulu ni mawazo ya Magu tu, nilichokigundua mimi ni kwamba huo ni mpango wa CCM kwa kipindi cha miaka 5. Msiaminishwe hata kidogo kuwa Kinana, Mwinyi, Kikwete, Mkapa na wajumbe wa kamati kuu ya CCM hawakuwa pamoja katika kupanga yote yaliyotokea kipindi cha miaka miwili cha Magu akiwa madarakani. Na ndio maana wamekaa kimya kwa yote yanayotokea.

Kama Nape kwa hasira alivyodokeza kuwa CCM ilikuwa inakwenda shimoni, huu ni ukweli ambao wote wakubwa wa CCM walilifamu kutokana na RUSHWA NA UFISADI vitu ambavyo upinzani ilivipigia tarumbeta. Yafuatayo ndio Maamuzi ya wakubwa CCM.

1) Ni muhimu kuchagua kiongozi ambaye hatakuwa na urafiki na wana CCM, ili avunje mazoea ya kujuana. Akachaguliwa Magufuli

2) Kiongozi huyu apewe majukumu makali na atoe maamuzi makali si yenye tija kwa watanzania ila yawe na tija kwa CCM.
- ahakikishe demokrasia inatokomea, ikiwa ni pamoja na kuzuia upinzani kutoa mawazo yao na watanzania kwa jumla
-Kuzuia haki ya mamlaka ya mihimili mikuu ya nchi
-Kurubuni viongozi wa upinzani kuhamia CCM
- Kuvuruga upinzani kwa kuleta ugomvi ndani ya vyama hivyo.
3. Kuwaaminisha watanzania kuwa huwezi kupambana na RUSHWA NA UFISADI ila sharti uvunje demokrasia.

Hivyo tunakoenda si kwingine ila ni kujenga nchi ya chama kimoja kitachochukua hatamu.

Swali ni kwamba, hivi dunia na watanzania wapo tayari kwa hilo, hata kama tutafanikiwa zaidi kiuchumi?
Mkuu umetoa maekezo mengi kana wakati mipango hiyo inafanywa wewe ulikuwepo.
Lakini kwa mujibu wa ccm,rais Magufuli abatekeleza ilani ya ccm 2015/2020 na imeainishwa kimaandishi,sasa huu upupu inaoutoa wewe upo kwenye maandishi gani?
Ni nini chanzo cha habari yako?
Kuhama kwa wanachama kutoka kimoja kwenda kingine kumeanza wakati wa utawala wa Magufuli?
Marehemu Karume alifananisha siasa sawasawa na koti,likikubana unalivua.
 
Back
Top Bottom