Habari ndugu,
Tuna kampuni inayojishughulisha na mambo ya catering services. Imesajiliwa na vibali vyote vipo current. Kama heading hapo juu nahitaji mtu wa kunisaidia masoko na usimamizi wa miradi.
- Asaidie kampuni ipate ukumbi wa kuwa tunatoa huduma ya chakula kwa shughuli zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.