mm mwenyewe nashangaa eti me unatoswa afu unaumia?? wkt ndio kakulahsishia kupata mwngne..afu me uliekamilika huwezi kua na dem mmoja bana....at least 4 ni vzr zaid
daaaah hv kuna wanaume bdo mnazinguliwa na mapenzi dunia ya xaxa.???? am xory 4 u guy..wanawake kibao yan mpaka wengne ikifika wkend inabd mtu uzime cm
Daah ila jamn sio vzr kuwasema hawa wadada kila ck..ujue some tyms hata cc men tunachingia ??? mm mwenyewe hapa nilipo sjaoa xaxa nani wakuwaoa?? Na pia cc tupo wachache sana kuna wadada wengi tuu wanajiheshim but tatzo ni wanaume tupo wachache sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.