Ukishasilimu unatakiwa kuachana kila linalohusu imani uliyoiacha. We umeoa sasa mawasiliano na wanawake ulikuwa unawataka wakakutaa ya nini? Huna uwezo wa kusitisha mawasiliano nao?
Kitty sa si umeshasema we ni player na hapo ulikuwa kwenye anga zako sasa unataka tukushauri nini? Maplayer huwa hawapendi, wana-hit na ku-run, so just keep on playing na wala usijali hao victims coz they have to hate the game not the player!
Afu' hizi mada zenu siku za kupendana na kutaka kuwa pamoja ndugu kwa ndugu wa damu moja mmeshaona fasheni?? Hili nalo mtahitaji hadi wazungu wafanye utafiti na kutuambia kuwa si sawa na hata wao hawafanyi? ...kama kweli huko mbeleni kuna moto basi kuna watu watakuwa kuni za kuchochea.
Amekosa alivyotarajia kuvipata hivyo hata ukilazimisha haitakusaidia, tafuta mwengine anayekupenda na sio tu unayempenda wewe afu yeye asikupende. Pia uache kujidharau kwa kuwa umeishia std 7, wanaume huheshimiwa na kupendwa na wanawake kwa mambo mengi.
Yupo na wewe kutimiza mahitaji yake. Akili za kuambiwa unatakiwa uchanganye na zako, si kila anayekwambia anakupenda na akakuvulia pichu basi ujibweteke na kuamini anakupenda. Chukulia hayo mahusiano kama funzo usije fanya makosa mbeleni.
Achana naye, kusema uongo hata kwa Mungu ni kosa kubwa...
Ni wazi kuwa hujui unachopenda kwenye mahusiano ya mapenzi. Kaa chini ujitafakari ili ufanye maamuzi sahihi usije ukapatwa na mengi huko mbeleni. Kupenda ni suala zito lakini cha ajabu wengi tunapenda kulichukulia kirahisirahisi. Usiji-commit kwa mtu kwa nia ya mapenzi wakati unamuhitaji kimwili...
Hakunaga kitu cha kusema mtu anaweza kuwa busy hadi mawasiliano yakawa hafifu kwa ampendaye, kila kitu kina nafasi yake, ni kusudi na mazoea mliyonayo ktk hayo mahusiano yenu, ukitaka kuthibitisha hilo kumbuka mwanzoni kabisa wakati mnaanza hayo mapenzi mawasiliano yenu yalikuwaje! Mapenzi ya...
1-anza kuwa na msimamo kwa kumfanya mumeo awajibike kwa nafasi yake kama baba na mume ktk familia kwa kutoa mahitaji kwa kadiri ya uwezo wake. Akisema hana na wewe sema huna, wanunulie watoto chips na waambie baba yao akirudi wamlilie njaa.
2-mkubarie ombi lake ila muwekee masharti kuwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.