Pole sana
Mbwa dume
Kuna vitu kadhaa nilivyoviona;
1. Uharaka: Sijui kwa wengine, lakini binafsi uliposema mmekutana mwezi uliopita(Mei) mwanzoni na sasa hivi ni mwezi wa sita mwanzoni, ninadhani hapa umeharakisha mahusiano hata kama unampenda kiasi gani, esp. kwa dunia ya sasa!
2. Uhitaji: Either you are too desperate or too easy going! Sidhani hata kama ndani ya mwezi unaweza kuishi na mwanamke kama me na mke(as you said, hata kijijini wanajua nyie mmeoana.
3.Upofu: 'They say curiosity killed the cat' huko kuchunguza chunguza kwa simu yake ndiyo kumeleta haya. Sasa nashindwa kuelewa unaposema 'hana kasoro' ..Believe me everyone has, tunavumiliana tu! Kama huzioni it was not high time for you kuingia katika mahusiano.
Pili, kasoro ndiyo hizo umetambua uongo(kuficha ukweli), uaminifu haupo pia.
Uamuzi mgumu: Ninadhani binti/mwanamke/dada huyo amefanya out of desperation(Ulimpa hifadhi hukuwa na nia yeyote nyingine), ilibidi akubali, na alijua kuishi pamoja kunaweza kupelekea huko(mahusiano) na ndiyo maana hakukueleza wazi kuhusu baba wa mtoto wake! Pili Baba wa mtoto wake amemueleza amefikia wapi?
Then, kama 'fadhila' ya kumhifadhi ndiyo ikapelekea mahusiano nothing else.
Stand to be corrected,
-Dont rush into things.
-Usimuamini mtu yeyote kirahisi rahisi.
-Mueleze wazi kuwa huhitaji maendeleo yoyote ya mahusiano yenu, ila sishawishiki kumhifadhi mke wa mtu mliyekutana tu huko hata kama ana shida gani aisee.