Kingfisher
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 4,974
- 8,115
Uzuri upo kwenye tabia mamaa
wewe si umeanzisha mada kule ukijidai una bikra kumbe umeshatusuliwa siku nyingi umebaki tu na mashimo kama ya bulyanhulu
wewe si umeanzisha mada kule ukijidai una bikra kumbe umeshatusuliwa siku nyingi umebaki tu na mashimo kama ya bulyanhulu
Hahah ashaumbuliwa huyo, hahah
Hivi kwanini wanaolewa hawana shepu wala sura. Mfano rafiki zangu sio wazuri wala nini lakini wanaolewa. Mimi nina shepu na sura nawashinda wote lakini mbona siolewi na sidumu na wanamme.
Wengne wasema nimelogwa eti inaweza kua kweli jamani.
Msada tafadhali.
Thanx for your advice.
Hivi kwanini wanaolewa hawana shepu wala sura. Mfano rafiki zangu sio wazuri wala nini lakini wanaolewa. Mimi nina shepu na sura nawashinda wote lakini mbona siolewi na sidumu na wanamme.
Wengne wasema nimelogwa eti inaweza kua kweli jamani.
Msada tafadhali.
Thanx for your advice.