Ushauri unahitajika

Ushauri unahitajika

yu dont give up k....... we cha kufanya mchunguze ili upate uhakika kama kwel sawa,den utanambia wat he mean tu yu,or ana malengo gan kwako..........
 
Lutena

Kimbia usigeuke nyuma ukawa mgonjwa wa moyo na hata umauti!
 
Last edited by a moderator:
Ukiona manyoya ujue keshaliwa!!!!!! Kusoma hujui bat picha pia huon? Pôle yako
 
Amekosa alivyotarajia kuvipata hivyo hata ukilazimisha haitakusaidia, tafuta mwengine anayekupenda na sio tu unayempenda wewe afu yeye asikupende. Pia uache kujidharau kwa kuwa umeishia std 7, wanaume huheshimiwa na kupendwa na wanawake kwa mambo mengi.
 
Lutena

ukitaka kuandika humu ndani usiwe unakunywa viroba ndiyo unakuja humu hiv ulishaona wapi kwa kibongobongo mtu anahama chuo ? yani kutika UDS to SAUTI? yani mijitu mingine sijui hamhielewi na mnavokuwa mnaandika yani mnakuwa kama wabunge wa CCM! ,,,ebu kalale kwanza viroba viishee
 
Last edited by a moderator:
Hakuna kitu cha hvyo tatzo elimu na kuto dadisi mambo kwake anaona aibu ndo maana hajui chochote adi grfrnd wake anamdangany kahamia saut il asimsumbue kumbe yumo humohum dar.
tatizo la huyu jamaa siyo kuwa ni mdadisi bali ni viroba,,hawa si wanaume wa rombo hawajielewi
 
Mkuu, hivi bado suala la elimu linakutesa tu hadi leo? Ajabu safari hii linakusumbua kwenye mapenzi.. Hahaha, utabadilisha chupa tu ila mvinyo ni ule ule..

Sijawahi kukuchukulia serious kwa kuwa hauko serious.. Bahati yako naheshimu sheria za JF ila ningekutaja LIVE kama wezi wa escrow kwa sababu unasumbua watu. Mxxiiiiuw!

Nakushauri toka huko kijijini, nenda mjini kuna elimu kubwa zaidi ya hiyo standadi seveni. Halafu jitahidi uishi kama mtu mzima hata kama umri bado, itakuongezea heshima..

Bye!
 
Lutena

ukitaka kuandika humu ndani usiwe unakunywa viroba ndiyo unakuja humu hiv ulishaona wapi kwa kibongobongo mtu anahama chuo ? yani kutika UDS to SAUTI? yani mijitu mingine sijui hamhielewi na mnavokuwa mnaandika yani mnakuwa kama wabunge wa CCM! ,,,ebu kalale kwanza viroba viishee

mkuu CHIEF na wala c viroba sema ww hujaelew vle na namanisha, UDS ni kwamba kapata diplpoma so hakupa kaz so akaona ajiendeleze anasomea sheria
 
Last edited by a moderator:
Amekosa alivyotarajia kuvipata hivyo hata ukilazimisha haitakusaidia, tafuta mwengine anayekupenda na sio tu unayempenda wewe afu yeye asikupende. Pia uache kujidharau kwa kuwa umeishia std 7, wanaume huheshimiwa na kupendwa na wanawake kwa mambo mengi.

asante mkuu
 
mkuu CHIEF na wala c viroba sema ww hujaelew vle na namanisha, UDS ni kwamba kapata diplpoma so hakupa kaz so akaona ajiendeleze anasomea sheria

bahati yako huu ni usiku

hivi unamdanganya nani???
 
Sasa hapo unahitaji ramli gani kujua kama tayari ushapigwa chini? Huyo sio level yako tena, tafuta mwingine bana, mbona wengi tu
 
Back
Top Bottom