Recent content by Cartoons

  1. C

    Kwa wadada wenye magari tu

    raha zaid ni pale anapokuwa kwenye gari, kakaa, anaendesha, kimin kimepanda juu na haitaj kukivuta kwan anaamin yuko peke yake na hamna anayemuona, alaf unamu_overtake, unatupa jicho kidogo, hapa wanaofaid zaid n wenye pikipik, abiria walioka kushota na dereva km gari n LHD.
  2. C

    Yako wapi Mabasi ya Mwendokasi?

    hii nimeipenda mkuu
  3. C

    Azam TV acheni ubabaishaji

    Hii nimeipenda mkuu
  4. C

    Magufuli amshinda Lowassa umaarufu kimataifa!

    kwa hiyo na hao watu wa kimataifa watapga kura?
  5. C

    Mungu ni mwoga?

    akidhiakiwa inakuwaje?
  6. C

    FT :Jku 2 Simba 0 , papaa Nd'aw ashindwa kuonyesha makali yake

    hii nimeipenda mkuu karibu AZAM FC
  7. C

    Lowassa akutana na Wafanyabiashara wa Kariakoo na Makundi mbalimbali, Msimbazi centre Dar

    when it comes to POLITICS na dini, degree ni kitu kidogo sana.
  8. C

    Polisi yaingilia kati zomea zomea ya waliovaa nguo za kijani na njano!

    Twambie ni sheria gani inakataza kuzomea.
  9. C

    ‘Lowassa-mania’ na ya mpiga filimbi wa Hamelin!

    nimeangaika kusoma kumbe source n RAIA TANZANIA? ningejua mapema, nisingejisumbua kusoma na kupoteza muda wangu
  10. C

    Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

    hilo n kosa, sema n ngumu kuidhibtisha kijinai, kwan hamna mashahid. ingawa wanawake wengi wanaitumia km sababu yakuomba talaka.
  11. C

    Nilimuheshimu sana kama kaka, leo hii ananitaka

    hiyo n roho mbaya kwa kisingizio cha kumheshim km kaka, kwan ukimkubalia km kulipa fadhila aliyokutendea, unapungukiwa nn? labda useme moja tu kwamba humpendi
  12. C

    Nastahili tuzo kwa jinsi ninavyowakwepa wanafunzi wa kike

    Km wana zaid ya miaka 18 ukiwagegeda kwa ridhaa yao sio kosa la jinai, rape, labda ukiamua kuoa au kumpa mimba. instead utashughulikiwa kmaadil ya utumish tu.
  13. C

    Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

    FROM LEGAL POINT OF VIEW Kiujumla mme hawezi kumbaka mkewe, labda kama 1. Mme kaleta au kashirikiana na watu wengine (a.k.a mande au mtungo) kumbaka mke wake. 2. Kufanya mapenzi na mke wake bila ridhaa yake pale wanapokuwa wametengana kwa muda (separation). Tofauti na hapo, MKE AKIGOMA TUMIA...
  14. C

    CHUMBA KIMOJA...baba, mama na watoto. Umaskini hatari!!!

    na km asingeshutuliwa angeangushwa tena maana kulikuwa hakuna namna nyingine
  15. C

    Wana-CCM wavua nguo hadharani kupinga mgombea kukatwa!

    Weka kapicha tushuhudie
Back
Top Bottom