Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Kumbe wenye nagari pekee wengine ruksa........vimin vimni kwa raha za hao
Umetumwa upande.kama vp chukua daladala
I find it sexy dealing with girls in mini.
Napenda mke wangu akivaa mini akae hapo pembeni.
Nayashika nikijisikia.
Mila na tamaduni ni kufunika manyonyo na papuchi tu, vingine vyote vinakuwa fahari ya macho.
Unafuata hizo mila na tamaduni?
wee mbona mchonganish hivooo???? mie sikumaanisha huyu, yule mwingineee shauri lako.
Hata hivo mambo ya pemba yaliishia pemba japo yalianzia hapa looh
Habari za asubuhi?
Niende moja kwa moja kwenye mada,kuna ongezeko kubwa sana la wanawake/wadada kumiliki gari na kuziendesha pia,ni jambo jema kwa kweli.
Ila shida yenu kubwa ni kuvaa vigauni /visketi vifupi sana, inakuwa shida sana pindi mnapotoka kwenye magari yenu, utakuta mdada wa watu anakosa amani na kuanza kukivuka kinguo chake mara kwa mara.
Mimi najiuliza hivyo vinguo vyenu ndio maelekezo mliyopewa wakati wa kupata leseni ya udereva kuwa ni lazima uvae nusu uchi ili uonekane mjanja au kuonesha kuwa ni dada poa?
Mila na tamaduni zetu za kitanzania, pindi uvaapo na kutoka nje ni lazima uheshimu na wengine,usiwape watu mifadhaiko isiyo na lazima.
NB: Hii mada ni spesho kwa wenye tabia hizo za kutega watu na kujifanya watu wa magharibi. Kumbe kigari chenyewe kahongwa au cha urithi.
Daaah, kuna siku nilikuwa na rafiki yangu akaniuambia twende wote kuna sherehe ya rafiki yake, basi jamaa akaambatanan na mkewe. Akanishauri niache gari langu twende na gari lao tu. Jamaa akawa anaendesha, mkewe kakaa mbele kushoto kwa dereva na mimi siti ya nyuma.Tulipofika parking ikawa changamoto basi upande wa kushoto ikawa nafasi imebana ikabidi wote tushukie upande wa kulia. Hapo shem ikabidi atokee mlando wa dereva. Jamani macho hayana pazia, kinguo kilikuwa kifupi sasa ile anashuka akawa naked mamaaaaaaaaaaaa, mpaka chupi ilikuwa inaonekana nikaamua kugeuka ghafla kuzuga kama napiga chafya nikageukia upande mwingine. Bahati nzuri wakati huo mumewe alikuwa kaenda upande wa pili kuongea na walinzi kuhusu usalama wa gari hakuona tukio.
Siku nyingine tukawa peke yetu mi na shem tunadrive gari moja mimi ndo naendesha, shem akaniambia shem am sorry kwa ulichoona jana najua nimekukwaza. Nikajifanya sijui anaongelea issue gani, basi akanikumbusha..... daaaaah, hivi alikuwa ana haja gani kunikumbushia? Mpaka nimewaza mengi labda ananitaka, alafu mtoto mwenyewe mzuri balaaaa. Ila kwa mujibu wa biblia ukishamtamani umekwisha kuzini nafsini mwako, sasa mimi si tayari nimeshazini?
Hiyo ni stori tu inaonekana haina ukweliWewe na hiyo familia ya huyo rafiki yako mpo karibu sana?
Kila wakati upo nao.
Mila na tamaduni ni kufunika manyonyo na papuchi tu, vingine vyote vinakuwa fahari ya macho.
embu tupia na kapicha kidogo