Goodluck Mshana
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,271
- 1,119
Tukisema hatumpi Magufuli kura mnang'aka. Mnakuwa wakali huku kutwa kucha mnakuja na propaganda mpya na chafu... Nisiingie huko.
Naomba wale vindakindaki na mgombea wao wawajibu Watanzania. Tena Leo hii wala isingoje kesho. Kwanini mmezidi kuwa na ahadi hewa za kuwahadaa wananchi?! Mabasi ya Mwendo Kasi yako wapi nyie kijani na njano?!
Mmeowaonjeza ile siku ya kwanza kwa kuwapakia bure. Sasa tuelewe kuwa mlinunua magari then hamkuwa na mafuta? Ama mmeyapeleka Nairobi kuweka sawa ile milango yetu kama koti la Mzee Wasira?! Au mbwembwe za pressure za kukabidhi Ikulu October?!
Lizabon sijui Lizangati kuja hapa ujibu. Kura zinazidi kupungua kwa ccm-kuchereee...a.k.a Mzee wa Kushangaa (foreigner)
Naomba wale vindakindaki na mgombea wao wawajibu Watanzania. Tena Leo hii wala isingoje kesho. Kwanini mmezidi kuwa na ahadi hewa za kuwahadaa wananchi?! Mabasi ya Mwendo Kasi yako wapi nyie kijani na njano?!
Mmeowaonjeza ile siku ya kwanza kwa kuwapakia bure. Sasa tuelewe kuwa mlinunua magari then hamkuwa na mafuta? Ama mmeyapeleka Nairobi kuweka sawa ile milango yetu kama koti la Mzee Wasira?! Au mbwembwe za pressure za kukabidhi Ikulu October?!
Lizabon sijui Lizangati kuja hapa ujibu. Kura zinazidi kupungua kwa ccm-kuchereee...a.k.a Mzee wa Kushangaa (foreigner)
Last edited by a moderator: