Recent content by carmel

  1. carmel

    JamiiForums Tanzania Jumamosi irejeshwe kuwa siku ya kazi ofisi za umma

    kwa mshahara upi haswa
  2. carmel

    JamiiForums Tanzania Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

    muulizeni baba yake kwa nini alijiua.? si ye anajua sana kutoa siri za watu....
  3. carmel

    JamiiForums Tanzania Demand ya Samaki aina ya kambale

    Wajasiriamali nauliza soko la uhakika la samaki aina ya kambale au Catfish....Hivi kuna hotels ambazo wanatumia hawa samaki.? au naweza je kufanya value addition.?
  4. carmel

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    abbadjr nipigie 0768520042 ni kutengenezee ponds za bei rahisi
  5. carmel

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Natengeneza raised ponds kwa kutumia liners na ma banzi...hii njia n8 cheap na hauhitaji kuchimba chini ardhi yako. Karibu nikufanyie kazi nzuri....0768520042
  6. carmel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Najisikia raha sana kuona msichana anatoa machozi kwa ajili yangu

    sadist
  7. carmel

    JamiiForums Tanzania Vifaranga vya Samaki

    Kwa Dar es salaam
  8. carmel

    JamiiForums Tanzania Vifaranga vya Samaki

    Natafuta vifaranga mbegu nzuri. Nani anao wa sato?
  9. carmel

    JamiiForums Tanzania Natafuta mtaalamu wa kufunga Water Purification System

    Natafuta mtu anayetoa huduma ya kufunga hizi water purification system kwenye ponds. Pls nicheki 0784703920
  10. carmel

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Green House

    Inategemea umejenga ya aina gani, ukitumia chuma inakaa hata 15 years but kama ni miti depending na. Type ya mti hata 4years
  11. carmel

    JamiiForums Tanzania Selection UDSM 2014/2015

    Msaada niangalizieni huyu S1247/0128/2011 kapata chuo gani please
  12. carmel

    JamiiForums Tanzania Day 1 !!! Uhamiaji

    mngejua walioko kwenye hiyo tume mngejuta! walewale waliosimamia zoezi la assistant inspector na wao wenyewe kuweka ndugu zao ndo wamepewa tume! what do you expect? mmoja wao ni subira Kaporo ambaye mdogo wake mangunda Kaporo nar kachaguliwa kwenye ngazi ya assistant inspector! mengine...
  13. carmel

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania My X.nihurumie

    Asprin Mi naona na huu unafuu wa internet hadi viganjani jukwaa limeingiliwa na watoto sasa inabidi tukae mbali maana unaweza kuta uko na mkweo hau mwanao humu. hizi generation za divion 5 plus xaxa xema sweerie mi siziwezi lol.
  14. carmel

    JamiiForums Tanzania Aibu Kuu Uhamiaji: Uchakachuaji wa matokeo ya usaili wa nafasi za koplo na konstebo

    Hakuna ambaye hakuwa na Kimemo..kwanza waziri ndo aliyeengoza kupeleka vimemo kwa taarifa yenu..Katibu mkuu pamoja na kupeleka vimemo vyake vya kutosha alihakikisha pia kuwa wazanzibari wanaingia tena hata hawana sifa za kutosha wengine...Kwa ufupi kila mtu alikuwa na vimemo vyake. SWALI LA...
  15. carmel

    JamiiForums Tanzania Aibu Kuu Uhamiaji: Uchakachuaji wa matokeo ya usaili wa nafasi za koplo na konstebo

    Yaani nawashangaa sana watu kufurahia hii kidogo...I wish mngejua kiasi cha uchakachuaji kilichofanyika kwenye nafasi za Mkaguzi msaidizi mngelia. Huko Konstebo na Koplo ni cha Mtoto. Fatilieni yale majina yayalioongezwa kwenye website ya wizara baada ya listi ya kwanza kutoka. HAPA NAONGELEA...
Back
Top Bottom