My X.nihurumie

My X.nihurumie

Tokea november 2013 naona upuuzi umezidi humu jukwaani.


Uandishi wa mtu tuu, inaonekana ni mtoto wa sekondari na bado ana zile maongezi za watoto wa rika lake.🙄😡:banghead:
 
Tunazikosa hekima na busara za kina MwanajamiiOne, carmel, Nyamayao, gfsonwin, Lizzy, AshaDii, @Woman of Substance, Blaki Womani, Lily Flower et el nahisi kwa sababu ya upuuzi wa hivi vitoto vya kike vinavyodhalilisha jinsia Ke ni vithread vya kizembe.

Asprin Mi naona na huu unafuu wa internet hadi viganjani jukwaa limeingiliwa na watoto sasa inabidi tukae mbali maana unaweza kuta uko na mkweo hau mwanao humu. hizi generation za divion 5 plus xaxa xema sweerie mi siziwezi lol.
 
Asprin Mi naona na huu unafuu wa internet hadi viganjani jukwaa limeingiliwa na watoto sasa inabidi tukae mbali maana unaweza kuta uko na mkweo hau mwanao humu. hizi generation za divion 5 plus xaxa xema sweerie mi siziwezi lol.
I miss you...
 
msimlaumu...kajikubali alivyo.....tumshauri atoke huko.
 
Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue

mmmmh nawe ebu acha michepuko.
 
Hahahaaaa kwakweli nimeamini msemo wa rafiki yangu "usipo muoa bikira basi ujue umeuoa mpenzi wa mtu"
 
Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue

Hili taifa linakoelekea hata sijui.............
 
Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue

Idiot nyau
 
Heeee!!!!

Umepata wapi guts za kushinda siku nzima na ex wakati una mume hata kama yupo mbali?????

Mambo mengine yakitokea utamsingizia shetani ??????




Sielewi nini kinaendea.nimekua naye kutwa nzima jana na leo nimedamka kwenda kumuaga ubungo.hategemei rudi karibuni.anaishi mbeya.hatukupasha kiporo lakini cjui nini anawaza nami cjui nini nawaza.au upweke kisa mume kasafiri.ctaki upepo mbaya upite.naomba nikimuaga nirudi in ma sense.usiku wote nilikua naangalia saa asbh ifike nije ubungo. poleni kwa mambo yangu binafsi ila nishaurini nijinasue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom