Recent content by CarlesSerra

  1. C

    Kwa Kiswahili anaitwaje?

    panya buku
  2. C

    Swali la kibiashara

    Khaah We vipi! kwanza umesema una uwezo wa kutengeneza VITS, pile tangu umefungua hamna mteja aliyekuja, sasa unataka nini?
  3. C

    Kificho kuwa M/Kiti wa muda Bunge la Katiba

    huyu aliyeleta hizi taarifa ni ---- sana sie tunaangalia live hapa yeye sijui anaota? watu wengine aisee
  4. C

    Yaliyojiri: BUNGE Maalum la Katiba - TBC LIVE - Feb 18, 2014

    umeonaee! wameanza vituko sijawahi ona, yaani kama watoto wa chekechea
  5. C

    Mtu asiyejulikana agawa fedha jijini Dar

    ukitaka eskoti ya polisi hata kama una laki moja kwenye waleti ni simpo na gharama ya escoti ni ndogo sana, tatizo mnaogopa polisi kupitiliza
  6. C

    Utafiti! Wanaume hufanana na wezi wa wake zao!

    Ndugu umeileta vizuri sana hii, hongera ila hapo kwenye red mmmh itabidi ufafanue kwa kina zaidi, kuokoa wake za watu humu
  7. C

    3D............

    Hamna uwezekano wa hiyo simu kutoonekana?
  8. C

    tindikali inapatikana wapi

    ndugu umeiwakilisha vizuri sana
  9. C

    Nani mwana michezo kati ya hawa wawili?

    Viatu jamani duuuh
  10. C

    Traffic Police kanitoza fine kwa kwenda 52km/hr kwenye eneo la 50km/hr!!!

    Siku nyingine nenda kwa speed 40 hadi 45 kwa maeneo kama hayo hapo utaondoa ubishi
  11. C

    Usafiri iringa to dar .

    Subiri wadau watakupatia majibu sasa hivi, ikishindikana ungo ndugu unahusika na Ni fasta
Back
Top Bottom