tindikali inapatikana wapi

tindikali inapatikana wapi

Status
Not open for further replies.
Sangara, tunajadili sana swala hili kwa kuwa linahusisha raia wa nchi nyingine, foreigners wanapodhurika na matukio ya aina hiyo ni pigo kwa taifa katika midani ya kimataifa si unajua hawa watu wanakuja kutembelea mbuga zetu? tourism ikiadhirika uchumi wetu utayumba...

Rihana
Hii ni namna pana zaidi ya kulizungumzia,lakini binafsi nachangia kwa sababu najina kuwa vulnerable pia directly au indirectly,ndio maana niko concerned zaidi,mimi wale mabinti sio issue sana sababu kwanza nahisi hata wao walijisababishia matatizo kule zanzibar.

Turudi kwenye tindikali.unaonaje hii. Kwamba mafundi makenika wote wawe certified ,wauzaji wote wa betri wawe licensed,alafu certified makenika's pekee ndio waruhusiwe kununua hizo betri.not sure how much helful this could be!!
 
Kuhusu swala la ulinzi wa
obama hiyo ukiamua utafuta kauli mwenyewe,lakini kama hautojari unaweza
kutujuza juu ya hiyo dawa ya kukaushia maiti,ni kama hatari namna hii
unayojaribu kuonyesha mbona iko mikononi mwa watu wa ajabu sana? Wale
jamaa wa mochwari rushwa zao hazizidi hata elfu tano.

kuhusu ulinzi wa Obama,huo ni mfano tu ninaojaribu kufananishia ulinzi mkali wa hzo acid,na wala siwezi kufuta kauli kwa ninayoyasema kwani nina uhakika na niyaandikayo hapa.
Nikikutajia aina moja ya acid na ukaenda kumuuliza daktari kuhusu hyo acid,wallah nakuapia,utaozea jela!lazima utashindwa kujibu maswali yatakayofuatia..na ndio maana ulinzi wake nikaufananisha na wa Oby
 
jamani,acheni kujifanya wataalam,hv maji makali ya betri ya gari mnayafahamu kwa kiasi gani?wala hayana madhara kwa kiasi hicho,mbona mngeyasikia mengi sana huko kwenye hzo gereji?au mnadhani kule hakuna maadui?hata siku moja mkemia mkuu hawezi kusema ni aina gani ya acid iliyotumika ktk uhalifu kwasababu za kiusalama zaidi.

This is a new twist.
Kwa hiyo unamaanisha kwamba hakuna uwezekano wa tindikali zilizo kwenye betri za magari kuwa zinatumika na hawa wahalifu? Lakini rihana amedai kwamba huwa simeandikwa kabisa concentrated.shine more light pls.
 
.................,ni kwenye laborary zetu hizi mashuleni,ni kutoka kwa mkemia mkuu,au wapi? Na hasa matumizi yake zaidi ya huko laboratory ni yepi?........................



Mkuu mawazo yako yamekaa kishule zaidi, ni kama vile ulitegemea ziweko kwenye Laboratories za Chemistry au kwa mkemia mkuu pekee. Kule Laboratories za shule tunachanganya chemicals mbalimbali kama sehemu ya masomo yetu, lakini huku duniani hivyo vitu viko kwenye matumizi kama mahospitalini, viwandani na zingine kuuzwa maduka ya spare za magari na kutumiwa hata na wale ambao hizo Laboratory hawazijui.

Mfano mafundi wengi wa garage za magari wanazinunua hizo acid ''maji ya betri makali'' zinawekwa kwenye battery za magari kuongeza nguvu ya battery kuwasha injini ya gari. Hapa cha msingi ni matumizi tu ya hizo acid yamepindishwa kama ambavyo yanavyoweza pindishwa matumizi ya kitu kingine chochote.
 
Acid za kwenye berti za magari si kali kihivyo
 
Mkuu mawazo yako yamekaa kishule zaidi, ni kama vile ulitegemea ziweko kwenye Laboratories za Chemistry au kwa mkemia mkuu pekee. Kule Laboratories za shule tunachanganya chemicals mbalimbali kama sehemu ya masomo yetu, lakini huku duniani hivyo vitu viko kwenye matumizi kama mahospitalini, viwandani na zingine kuuzwa maduka ya spare za magari na kutumiwa hata na wale ambao hizo Laboratory hawazijui.

Mfano mafundi wengi wa garage za magari wanazinunua hizo acid ''maji ya betri makali'' zinawekwa kwenye battery za magari kuongeza nguvu ya battery kuwasha injini ya gari. Hapa cha msingi ni matumizi tu ya hizo acid yamepindishwa kama ambavyo yanavyoweza pindishwa matumizi ya kitu kingine chochote.

Shule imekuwa sio real life sikuhizi? Lakini kuna mtu wa pili sasa anasema acid ya kwenye betri za magari haiwezi kuwa inatumika kwenye haya mashambulizi sababu haina ukali wa kutisha namna hiyo,sasa inayotumika ni ipi? Ni ya mkemia wa serikali?
 
Acid za kwenye berti za magari si kali kihivyo

maji ya betri hayana madhara sana juu ya ngozi though ni very dangerous internally,kama vile kwenye meno na kwenye utumbo.
kuna acid ni hatari na zina ulinzi mkali wa kimyakimya,ukiuliza tu,unadakwa.!labda iwe kimagendo kwani uadilifu hakuna kwa viongozi wetu.

sred klozd
 
maji ya betri hayana madhara sana juu ya ngozi though ni very dangerous internally,kama vile kwenye meno na kwenye utumbo.
kuna acid ni hatari na zina ulinzi mkali wa kimyakimya,ukiuliza tu,unadakwa.!labda iwe kimagendo kwani uadilifu hakuna kwa viongozi wetu.

sred klozd

Mkuu mbona unafunga sred kienyeji namna hiyo? Car battery is ruled out,doesn't make part of this.what could it be the likely supplier? Viwanda? Mkemia mkuu?
 
Rihana ,rudi utetee hoja yako,betri za magari zina acidi sawa lakini sio acidi inayoweza kusababisha madhara kwenye ngozi kwa namna inayojurikana mpaka sasa.
 
Sio kukalili bali sikuelezwa.Hivyo unamaanisha tindikali inauzwa na watu hata wasio na utaalamu wa kuihandle? Hii inatofauti gani na hayo maduka kuuza silaha?

By the way tindikali inafanya nini kwenye betri ya gari?

Utaalamu wa nini wakati hapo imeuzwa kama maji ya betry, tindikali kwenye betri si ndio inasababisha betry iwe ina charge maana mfumo wa umeme wa gari unaendeshwa na betri hasa unapowasha na likishawaka wakati engine inazunguuka ina charge ile betry sasa humo kwenye betry kuna process inaendelea kuhusu hiyo acidi
 
Rihana ,rudi utetee hoja yako,betri za magari zina acidi sawa lakini sio acidi inayoweza kusababisha madhara kwenye ngozi kwa namna inayojurikana mpaka sasa.

Maji ya betry ni makali mkuu wewe just imagine ukivaa jeans tu kama betry limekugusa kidogo na pale ni unyevu tu baada ya muda inachanika, sasa sembuse maji yenyewe umwagiwe usoni mkuu, jaribu tu kuchua maji ya betry uone kazi yake ilivyo na ndio maana unaona hata hao waliomwagiwa acid wapo vile na kama ingekuwa acid unayoijua wewe nadhani ingewabandua mpaka minofu na kufa palepale (ngozi si ngumu kama tunavyodhani)
 
Utaalamu wa nini wakati hapo imeuzwa kama maji ya betry, tindikali kwenye betri si ndio inasababisha betry iwe ina charge maana mfumo wa umeme wa gari unaendeshwa na betri hasa unapowasha na likishawaka wakati engine inazunguuka ina charge ile betry sasa humo kwenye betry kuna process inaendelea kuhusu hiyo acidi

Inawezekana kazi ya acid kwenye betri ikawa ni kuhifadhi charge?
 
Maji ya betry ni makali mkuu wewe just imagine ukivaa jeans tu kama betry limekugusa kidogo na pale ni unyevu tu baada ya muda inachanika, sasa sembuse maji yenyewe umwagiwe usoni mkuu, jaribu tu kuchua maji ya betry uone kazi yake ilivyo na ndio maana unaona hata hao waliomwagiwa acid wapo vile na kama ingekuwa acid unayoijua wewe nadhani ingewabandua mpaka minofu na kufa palepale (ngozi si ngumu kama tunavyodhani)

I need to experiment this now.
 
Ndugu yangu unaonekana una knowledge ndogo sana ya mambo... yale maji ya betri ndiyo yanaipa betri nguvu ya ku ignite engine...ni highly corrosive nenda dukani yanauzwa sh 3000 nunua halaf weka kwenye nguo uone ukali wake...sasa kama yanaweza kuyeyusha nguo je mtu akimwagiwa usoni inakuwaje? serikali haiwezi kudhibiti uuzaji wa acid ya gari kwa sababu matukio mengi ya kumwagia watu tindikali yanakuwa na motives fulani hata kisu nyumbani kinaweza kuwa silaha tu na kuuwa na huwezi kusema serikali idhibiti visu visiuzwe


Highly corrosive ni Nitric Acid, hii Sulphuric Acid ya kwenye magari inaunguza tu lakini si corrosive. Tatizo la ajira kwa vijana wasomi soon na hii nitric acid itaanza kupatikana kama pipi.Hii ni mbaya zaidi na kwa kemia ndogo tu mtu anaweza kuitengeneza kutoka kwenye mbolea za NPK na Ammonia (Nitrogenous fertilizers). Siwapi desa msije sema nafundisha ugaidi bure.
 
I need to experiment this now.

Jaribu kiana kwanza kwa kuchukua kitambaa uweke tu kwenye betri usidumbukize kwanza baada ya muda kitachanika na mie majuzi nilikuwa muhanga nigusa shati kwenye betry likachanika, hao kama wangemwagiwa ile pure acid aisee nyama ingeshuka na kufa si unajua muziki wa acid ulivyo mkali, hao wamepigwa na acidi ambayo ipo diluted / maji ya betry
 
Inawezekana kazi ya acid kwenye betri ikawa ni kuhifadhi charge?

Sio mtaalamu sana ila hapo inatumika inaweza ikawa nikatika ya kuzalisha charge si unajua mambo ya chemical reaction, tumetoka shule siku nyingi tangu 1996
 
kwani mbona ulishaeleza kuwa kuna aina kadhaa za acid,tena ulizitaja hadi majina,sulphuric acid,hydrochrolic acid,boric acid,nk,hzo ndizo tindikali zenyewe kijana,au ulitaka uone imeandikwa "Tindikali"pale juu ndo ujue kuwa ni tindikali?anyway,yule jamaa waliom-ponda ponda jana kwa vitu vyenye ncha kali vinavoruka hewani ndo anajua zaidi.

Mkuu una ushahidi kuhusu hayo madai ya Ponda kuhusika na tindi kali?
 
Mara ya mwisho kuiona hii kitu kwa macho yangu ni katikati ya mwaka 2001 nikiwa form six kwenye laboratory ya chemistry.Ikamwagika kwa bahati mbaya kwenye meza mle laboratory,fukuto lililotokea pale sio mchezo,meza ikaungua eneo hilo utadhani imechomwa moto,ukweli toka form two nilipoanza kuifahamu hii ilikuwa ndio chemical content pekee inayoogovya kwenye chemistry laborary,wakati huo mtu hata akigusa chupa yenye hyrodrogen peroxide anashtuka na kuruka tena kwa kelele mamaaaaaa anadhani ni concentrated acid

Toka mwaka 2001 sijawahi kuiona tena,nakumbuka ni colourless lakini pia nakumbuka ziko za aina nyingi kama hyrochloric acid,sulphuric acid,ethanoic acid,boric acid nakadharika lakini naamini zote zinatabia sawa sawa.

Pale mwanza miaka ya mwishoni mwa 1990 mbunge wa jimbo la mwanza kabla halijagawanywa baada ya ujio wa kijana masha alimwagiwa tindikali akiwa ofisini mwake,watu wanadai sababu ni kwamba alikuwa anatembea na wake za watu,namkumbuka kwa jina moja bwana shomari,kama ilivyokuja kuwa kawaida kwa upande wangu na yeye alimwagiwa kichwani lakini nadhani yule mtu alimwagia akiwa nyuma yake hivyo eneo kubwa lililoathiriwa ni shingoni.

Kiukweli,na hii inaweza ikawa ni moja ya tatizo la mfumo wetu wa elimu,mpaka leo dhaidi ya kukumbuka kwamba acids zinatumika kutengeneza chumvi sikumbuki matumizi mengine ya hii kemikali na bado naamini haitumiki kutengeneza chumvi hii tunayokula sababu inapatikana naturally (thanks God) kama pale uvinza.

Ni wazi matumizi mengine ni haya ya ugaidi ama kudhuru watu wengine,wakati ule bado mdogo hata mimi niliposikia mbunge wangu kamwagiwa tindikali sababu ya kukwiba wake za watu nilisema "size yake" lakini hivi sasa nimebadirika,sasa siamini hata kama ile ilikuwa ni sababu ya kweli,sasa naona njia sahihi nikuwafikisha watuhumiwa kwenye mikono ya sheria.

Niende kwenye hoja ya msingi,hawa watu wanaipata wapi tindikali,na naona lugha yetu imeipa jina mujarab (tindi-KALI),ni kwenye laborary zetu hizi mashuleni,ni kutoka kwa mkemia mkuu,au wapi? Na hasa matumizi yake zaidi ya huko laboratory ni yepi?viwanda gani vinatumia acid nchini,kuna matumizi yoyote ya kawaida yanayoweza yakamfanya muendesha bodaboda na yeye akawa nayo?
ndugu umeiwakilisha vizuri sana
 
Mkuu umenikumbusha acid Teacher wetu wa kemia aliiweka kwenge test tube akaimix sikuambii akatuamia tukae mbali tukasogea huku tukiitizama test tube ilianza kureaction ukafuka moshi then mlipuko uliotokea tulihofu na hatukuona hata kipande cha test tube kilipopotea... Akatuambia hawezi kutufundisha sana kwani tunaweza kuja kutengeneza Mabomu... Practical ndio ikaishia hapo.... ni hatari sana watu wakijafahamu hili... Humu ukiuliza sana watu wanaweza anza kujifunza zaidi nchi itakuwa kwenye dimbwi zito
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom