Mimi nilianza kuifuatilia Leicester season ya 96-97 walikuwa wana mturuki mmoja anaitwa muzzy izzett alikuwa balaa sana yaani kama unavyomuona paollo di canio mtata na mtupiaji Mzuri.long live the foxes
Tunaomba dua zenu ndugu zenu huku Masasi hali ni tete kidogo kwani RAIA wapenda mabadiliko takribani elfu kumi wako nje ya Halmashauri wakiimba na kushinikiza matokeo yatolewe huku vifaru vitano na Lori tano za jeshi na cruiser kama kumi na washawasha moja za polisi ziko stand by. Tunajiuliza...
Kosa letu Masasi ccm tumeleta mgombea mgeni,hatambuliki,kuzungumza hawezi tofauti na jamaa wameleta comedian maarufu kundambanda ila kinachotupa hope kidogo ni Jana aliposhuka mzee wa goli LA mkono almaarufu maradona au n.n.
Hali Masasi haitabiriki ila watu wamejitokeza kwa wingi kupiga kura ila sintofahamu iliopo ni uoga kwa kila RAIA baada ya kuwa na vifaru na magari ya deraya takribani matano na cruiser za field kutoka Lindi na MTWARA sasa haieleweki kunani hapa masasi
We kuna kitu waarabu walikufanya huwezi kuwachukia hivihivi,mbona makaburu wanachota miererani husemi,geita gold mine VP?unaongea na vichwa learned sio ulete chuki kwenye mambo ya nchi
Kwanini msiende kwenye mazishi geita mtatoa heshima za mwisho nyumbani kwa marehemu,intelligence imegundua wenje anatafuta kick ndo maana mnalazimisha owe furahisha
Kuna huyu jamaa mkaruka hivi anaweza jiita great thinker kweli.anakurupuka tu na kulaumu Quran,hivi admin mnamuangalia anaingilia iman za wengine.laiti jf kungekuwa na picha za members ningekuwa segerea maana this guys needs to be taught a lesson kuwa you can't start criticising the holly book...
AFANDE Tony ni jamaa mmoja mzuri sana alitusaidia sana pale kabuku tulipata ajali na basi LA meridian,mbona wengine wanakula malaki au mnatoa kafara Huyu mnyonge
Kina tibaijuka na kina chenge mbona ni watz halisi mbona huwataji?mwizi ni mwizi haijalishi ni Asili gani.maadam wewe unatumia makalio kufikikiri that's why you're just a damn imbecile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.