Eti mwanamke pia humwaga shahawa?

Eti mwanamke pia humwaga shahawa?

Wote nyie mnaongea msilo lijua mwanamke hawezi kupata mimba bila ya sperms zake yaani shahawa kukutana na sperms za mwanaume sasa hio habari ya kileleni sijui nini ni habari za kijiweni tu

Teh teh...hii sjui biologia ya wap
 
Aiseeeee!!!! hii mada ni hatariiii.... me mbona naona mambo mageni sasa duuuh....!!!!
 
Wengi wanamuuliza kama ke au me. Illuminata lazima awe ke kwenye romantic languages. Spanish, French na Italian.
First name ya mwanaume haiwezi kuishia na "a"


. Kwa hiyo hakina MUSA..JUMA...OSAMA.....mbona herufi zinaishia na "A"au wao ni Ke?
 
. Kwa hiyo hakina MUSA..JUMA...OSAMA.....mbona herufi zinaishia na "A"au wao ni Ke?

kwa anayejua kidogo culture ya lugha nilizotaja, anajua dhahiri jina hilo ni maarufu huko. Kama ambavyo kwa kutumia common sense tunajua mifano yako ni majina ya kiume ya kiislamu.

Kwa wao Honorata ni mwanamke na Honorato ni mwanaume. Ndiyo maana nilitaja asili ya jina kuepuka aina ya swali lako.
 
Ni raha sana kama mwanamke hamwagi basi atafute kudadavuliwa amwage ndio utamu wenyewe

Pole haujui haya, kajifunze sasa
 
Kwa jinsi ambavyo wanaume wengi wafanyavyo hayo mapenzi huwa ni ngumu kwa wanawake kumaliza, ni wachache wenye moyo wa kutaka ushindi na kujali wenza wao ambao huwa wanafanikiwa hili. Ila kwa hakika ni kupoteza muda sana kufanya mapenzi pasipo kufika ama kukojoa, Mungu unamwita kwa hakika ukiridhishwa.
 
tupange pambano mimi na wewe...usipomwaga nakulipa million nzima
 
Leo nlkua na shost yangu fulan hiv asa katika mazungumzo yetu akaanza nipa stori za chumbani,akadai ye kuna mpenz wake mmoja ambaye hata amfanyie nini hawezi kumwacha ikabidi nimuulize sababu kwanini asimuache akanijibu akisex nae huwa anamwaga hata mara nne..hapo nikastaajabu sabu mi najua mwanaume tu ndo ambaye huwa anamwaga asa na wanawke pia..ila shost ckupenda mdads sana mana ni waruwaru nikaamua nileteee hapa,mwanamke anamwaga vp?

Hili jukwaa nalo ni jipu jingine, ujinga unatawala maarifa na lugha za kishenzi kabisa
 
Dakika kama 20 zilizopita kuna mke wa mtu nimemfikisha kaning'ata balaa wakati anaachia kitu dah!! Mwanamke ukimfikisha anakuwa ka chizi

Usubiri siku zako uje kutumbuliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom