pundamilia 07
Mungu akubariki kwa post zako na wote wenye mapenzi mema na kampuni hii. Kwa kweli inasikirisha..
Embu angalia
Wiki mbili zilizopita, jamani haya si majungu kuna marubani 31 na wafanyakazi wandani ya ndege 32 walikuwa hawajalipwa mishahara yao...lakini bodi ilikaa jumatano...
ATCL wawakilisha sababu za kuharibikiwa
Mwandishi Wetu
Daily News; Friday,December 19, 2008 @21:15
Habari nyingine
ATCL wawakilisha sababu za kuharibikiwa
Mpigapicha wa Channel Ten aagwa
TSN watoa msaada wa kompyuta
Zimbabwe isaidiwe kukabili kipindupindu
Mgonja kula sikukuu...
kwa raha zake wakina lowassa na rostam watupu wamepandikizwa ...si nyalisa mm malisa wala nsauni haya tusikie watakavyokula kwenye maataba wa pale ....
byee
halafu bado Mustapha Myang'anyi anasema atajiuzulu pale tu ITAKAPODHIBITIKA kuwa bodi yake imehusika katika kufanya shirika hilo kufungiwa! Uthibitisho upitena?
labda anasubiri kutupiwa mawe na watanzania ndipo ajue wamechoka nje ya hapo hatoki....majuzi nilikuwa naongea na dir mmoja na...
Mheshimiwa mweneyekiti
una taarifa hata kampuni yako ikirudishiwa hiko kibali
hutoweza kurusha ndege zako zile ndgo kama dash 8
na sababu uanajua itakuwa nini//..ama utaishia tena kuwaambia
watu uzembe...kampuni yako imekuwa ikifanya maintenance za ndege illega kwa kutokuwa na kibali cha...
Kukodisha ndege ya kumpeleka pale kwa mzee zanaki jioni wanaenda kulala
nairobi yeye na yule mshe*** mwenzake temu alieiibia bima....ben alipojua wakamngoa sasa uswahiba wa kikwete kukaa nae pale **kwa macheni bar**
ameona awaletee atcl..any way wanajua wenyewe wafanyakazi nini cha kufanya...
Mkuu ALLIEN
Uswahiba na kuedekezana ndi kumelifikisha hili shirika hapa lilipo...
unajua D.MATTAKA NI SWAHIBA MKUBWA WA jk.so muda wote likitokea jambo anaona aibu kumuabarisha live sasa wakati mwingine unajiuliza jamaa akichota huku na mzee anaminyiwa kidizaini au!!!aiwezekani rais mwadilifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.