Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia leo, Jumanne, Desemba 16, 2014 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amekubali ombi hilo la kujiuzulu.
Katika barua yake kwa Mhe. Rais Kikwete, Jaji Werema amesema...
Ndoa ya serikali kama zilivyo ndoa nyingine zinazofungwa hapoa Tanzania kama vile za madhehebu ya kidini, zinazofungwa kimila zote zinzsimzmiwa na sheria ya ndoa ya mwaka 1971. Baadhi ya masharti muhimu ni pamoja na
1.Ndoa ni lazima itangazwe kwa siku 21
2. Siku ya kufunga ni lazima wanandoa...
Kibali cha katibu mkuu kiongozi huhitajika kwa mtumishi aliyestaafu ama kwa hiari au kwa lazima au kwa ugojwa au aliyestaafishwa kwa manufaa ya umma, na pia kwa mtumishi aliyefukuzwa kazi a
mbaye anaomba kurudi tena katika utumishi wa umma. Hii ni kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.