Naomba kujua sababu ipi inamzuia mtu kurudi serikali maana kuna wengine wanaacha kazi wanaenda masomoni au sekta binafsi kuongeza ujuzi halafu mbona tangazo la kiswahili linasema hivi " viii. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wanakibali cha Katibu Mkuu Kiongozi. mbona haya matanganzo siyaelewi.