Uyo dogo namjua vizuri ndo yule aliulizwaga na ticha wa civics, "what is family?" akajibu "family is a medicated soap"....nashangaa mpaka leo hajaacha uchizi wake
wadau walosoma zamani kidogo na hata sasa ni shule gani enzi hizo zilikua zikisifika kwa ugomvi na migomo... Binafsi nilikua nasikia kuhusu milambo,kibiti na tambaza mpaka nikatamani japo nisome kwenye shule mojawapo ili nijionee mwenyewe....taja shule yoyote ni vyema ukatukumbusha na tukio...
Sio hivyo tu hata humu jf zisianzishwe thread zozote kuhusu hilo bifu.Na hata likianzishwa na yeyote yule, asitokee yeyote wa kureply manake hata humu kunawatu wanapenda sana bif liendelee.Kama wewe ni team Kiba usibeze team diamond pia kama wewe ni team diamond usiumia kuona team...
niliambiwa et mvua inaponyesha Mungu anakua anamwaga Maji yaliyo ndani ya mapipa....inapopga radi wakati wa mvua basi mapipa yale yanakua yamegongana na kutoa cheche na muungurumo
uyu mchuzi michosho tu....anataka tujue yeye ni engineer pia ana gari,kwani we ndo engineer wa kwanza mbna wapo humu wanamagari wakubwa,maengineer wa maana....kwa taarifa yako you are too poor mutherfucker...better you stay cool...paka wa mamantilie ww
kwanza huyu kichupi mkononi aweke picha uone....nahc hta mwanaume wa dar hawez kutoa mpanga anapiga fagio la chuma anasepa.....dem akipita sokoni dagaa wanacheka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.