Recent content by capito

  1. capito

    Ushauri wenu wakuu katika hili kama familia tumebaki njia panda

    Kama kaka yako akitaka kujiridhisha kama mtoto kweli siyo wake aombe wakapime DNA
  2. capito

    Naolewa ila nimeamua kufanya revenge kwa maex zangu

    Umemjibu vizuri, mtoa mada amekuwa mbinafsi sana kwa kujiangalia yeye tu na kushindwa kuwa objective. Katika khali ya kawaida mpaka hao wanaume wote wamuache lazima nae ana mapungufu yake na possible nao walimvumilia. Naomba tu kumkumbusha kwamba kupanga kuolewa siyo kinga ya kupata malipizi...
  3. capito

    Huyu mchumba ana tatizo gani?

    Hiyo ndio tabia yake khalisi na ndio maana kila anapoomba msamaha na kuahidi kutorudia lakini mwishowe anafanya yale yale. Hivyo wewe ndio unatakiwa kuamua kama unaweza kuvumilia kuishi nae pamoja na hayo mapungufu yake au la, uwezekano wa kubadilika ni mdogo sana na wengi hawabadiliki sana sana...
  4. capito

    Nichukue hatua gani dhidi ya huyu mwanamke?

    Kweli vyuma vimekaza, dawa tu ya mswaki mbona kitu kidogo sana kanunue tu nyingine! Kuondoka nayo anaweza kuwa amesahau bahati mbaya au akawa na yeye anahitaji dawa ya meno na hamjamnunulia!
  5. capito

    Nina Shida kubwa sana, naomba msaada wa haraka

    Kama haitambuliki kisheria hapo unaweza unaweza kuacha kulipa riba iliyosalia maana ni taasisi za fedha tu ndio kisheria zinaruhusiwa kutoza riba. Jambo la msingi lazima ukusanye ushahidi vizuri kuonesha kuwa ulishalipa mkopo halisi plus riba nyingi tu lakini deni haliishi. Tafuta bush lawyer...
  6. capito

    Wateja wa Nyumba (wapangaji) wanapungua sana siku hizi

    Mkuu hiyo nyumba yako unayopangisha ina ukubwa gani, kodi kwa mwezi ni kiasi gani na iko Kimara ipi?
  7. capito

    Je, huyu mwanamke nimvumilie mpaka ndoa au nipige chini?

    Kutokana na uzoefu wangu tabia ni kilema siyo rahisi kuibadilisha baada ya umri fulani. Kama ulivyosema mwenyewe umejaribu kumbadilisha kwa mambo mengine lakini kwa hilo imeshindikana. Nadhani una option mbili, kwanza maadam umetambua mapungufu yake mapema then ujipime kama unaweza kuyavumilia...
  8. capito

    Natafuta mtandao wa kusoma online kwa video

    Jaribu Coursera ila kuna courses za bure na za kulipia hivyo chagua kulingana na mahitaji yako
  9. capito

    Natafuta mtandao wa kusoma online kwa video

    Jaribu Coursera ila kuna courses za bure na za kulipia hivyo chagua kulingana na hitaji lako
  10. capito

    Maastricht University Holland High Potential scholarship!

    Thanks for sharing mkuu, it is unfortunate kwamba mada zenye fursa kama hizi hazipati attention!
  11. capito

    Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

    Tatizo la maoni yako ni upeo mdogo wa kufikiri. Wewe unaamini kuwa kuna single intervention ambayo inaweza kutatua matatizo mengi ya kijamii uliyoorodhesha hapo juu, kuboresha mazingira ya kazi. Lakini uhalisia hauoneshi hivyo. Baadhi ya matatizo mengi ya nchi hii yanatokana na viongozi na...
  12. capito

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    Suala la Osama linagusa usalama wa taifa na hilo kweli ni public interest na siyo suala la Dr. Slaa. Suala la Slaa ni public interest kwa muonekano wa UKAWA, kwa wana CCM na vyama vingine siyo muhimu kabisa. Hata hivyo hata kama umemuona Osama unatakiwa kumtaharifu boss wako alafu yeye ndio...
  13. capito

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    Whistle blower wapo lakini lazima ukubaliane na matokeo, afterall kutoa taharifa za Dr. Slaa siyo public interest kwa baadhi ya watu, ni public interest tu kwa wana UKAWA, hili naomba ulione kwanza. Na mara nyingi whistle blower popote duniani wamekumbana na changamoto kama iliyomtokea huyo wa...
  14. capito

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    Wewe naona unasukumwa na hisia zaidi kuliko kuwa professional. Kwanza ni marufuku kusema siri za wateja wa hotel na pia kuna mipaka katika kuongelea mambo ya taasisi na hasa kama wewe siyo msemji. Kwa baadhi ya mambo unatakiwa upate kibali cha mkubwa wako hata kama yanagusa masilahi ya taifa...
  15. capito

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Kwa hiyo kama viongozi wengine siyo malaika ndio excuse ya Gwajima kutoa matusi kwa Kadinali Pengo? Kama ulifurahi Gwajima kumtukana Pengo, kwa nini tena leo unafurahi Gwajima huyohuyo anaposema Dr. Slaa amewatukana maaskofu na yeye atawatetea? Hii inamaanisha wewe na Gwajima wote wanafiki...
Back
Top Bottom