Nadhani ingependeza kama ungefafanua huko TARURA amepata mkataba wa muda gani na kama ni renewable au non renewable. Kama mkataba ni wa mwaka 1 ushauri unaweza kubadilika otherwise namshauri aende TARURA.
Kama halmashauri analipwa nusu ya hela anayoenda kulipwa TARURA maana yake alifanya kazi...
Maelezo yako ya hapo juu hayakutaja milioni 9. Ulitaja 2m na 7m
Kama uliomba 9m na ukapewa 7m na mkopo wa awali unaendelea kuulipa then uliwahi kuuliza zile 2m kwenye 9m zilienda wapi? Umeomba bank statement yako na kuona wao benki walikuingizia kiasi gani? Mkopo mpya unalipa wa 7m au 9m? Kama...
Hiyo inaitwa consolidation, uliunganisha mkopo uliokuwa umesalia wa 2m pamoja na mkopo ulioomba wa 7m na kupata mkopo mpya wa 9m.
Unless huu mkopo mpya wa 9m labda ungepewa muda mrefu zaidi wa kulipa ili rejesho la mkopo uweze kulimudu otherwise inaweza kuwa vigumu kumudu kulipa marejesho ya...
Kwanza naomba kuuliza wakati unapewa mkopo wa top up, ulipewa hela yote uliyoomba au ulipewa balance baada ya kufuta mkopo wa awali.
(i) Kama ulipewa hela zote ulizoomba kwenye mkopo wa pili maana yake mkopo wa kwanza haukufutwa hivyo benki wako sahihi kukukata mikopo yote 2 unless urudishe...
Makosa ni yako mwenyewe, katika khali ya kawaida haiingii akilini kumnunulia mtoto wa mwenzako nguo bila sababu ya msingi.
Ulichotakiwa kufanya ni kukusanya ushahidi na kumuonesha baba mtoto changamoto alizokuwa anapitia mtoto na siyo kumnunulia nguo utafikiri baba yake aneshindwa kufanya hivyo.
Mi nakushauri uende huko kwenye mitandao ya simu maana kuna career growth baada ya kupata uzoefu unaweza kubadilisha kazi na kupata kazi nzuri zaidi. Kwenye ualimu sioni career growth
Umemjibu vizuri, mtoa mada amekuwa mbinafsi sana kwa kujiangalia yeye tu na kushindwa kuwa objective. Katika khali ya kawaida mpaka hao wanaume wote wamuache lazima nae ana mapungufu yake na possible nao walimvumilia.
Naomba tu kumkumbusha kwamba kupanga kuolewa siyo kinga ya kupata malipizi...
Hiyo ndio tabia yake khalisi na ndio maana kila anapoomba msamaha na kuahidi kutorudia lakini mwishowe anafanya yale yale. Hivyo wewe ndio unatakiwa kuamua kama unaweza kuvumilia kuishi nae pamoja na hayo mapungufu yake au la, uwezekano wa kubadilika ni mdogo sana na wengi hawabadiliki sana sana...
Kweli vyuma vimekaza, dawa tu ya mswaki mbona kitu kidogo sana kanunue tu nyingine! Kuondoka nayo anaweza kuwa amesahau bahati mbaya au akawa na yeye anahitaji dawa ya meno na hamjamnunulia!
Kama haitambuliki kisheria hapo unaweza unaweza kuacha kulipa riba iliyosalia maana ni taasisi za fedha tu ndio kisheria zinaruhusiwa kutoza riba. Jambo la msingi lazima ukusanye ushahidi vizuri kuonesha kuwa ulishalipa mkopo halisi plus riba nyingi tu lakini deni haliishi. Tafuta bush lawyer...
Kutokana na uzoefu wangu tabia ni kilema siyo rahisi kuibadilisha baada ya umri fulani. Kama ulivyosema mwenyewe umejaribu kumbadilisha kwa mambo mengine lakini kwa hilo imeshindikana.
Nadhani una option mbili, kwanza maadam umetambua mapungufu yake mapema then ujipime kama unaweza kuyavumilia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.