Recent content by caoren

  1. caoren

    Kupigwa MTUNGO/ kuliwa MANDE ni Janga kwa wanawake wa Tanzania

    mleta mada mimi natafuta chuo cha kujifunza kung fu yani nijue tu kupigana niwe strong... wajinga wajinga wanipitie mbali[emoji41]..
  2. caoren

    22 wafukuzwa Nyegezi Seminary kwa tuhuma za ushoga

    wamefukuza wake11 na waume11 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mwenyezi Mungu atusamehe bure
  3. caoren

    Hii ngaz kwa ngaz ya Salama hovyoo

    kweli video za ajabu ajabu.. angekua anaangalia wakina nani wana trend , akina nani wana scandal labda ndio unawazungumzia..
  4. caoren

    Huu ndiyo utofauti wa Kiba na Diamond

    afu nashangaaga sana mnaposema diamond hajui kuimba wakati akitoa miziki mitaani inaimbwa sana kuliko mziki wowote... hapo hapo mnasema hana sauti lakini sauti hio hio ndo inampeleka kimataifa... tusikariri hayo maneno kwamba kiba mwanamuziki ,diamond mfanyabiashara/msanii diamond sio bakhresa...
  5. caoren

    Huu ndiyo utofauti wa Kiba na Diamond

    papa wemba ndo kamshirikisha diamond
  6. caoren

    Billnas wenzako hawajaanza ivo!

    TID hapendi kudharaulika ndo mana anaonekana mkorofi
  7. caoren

    Natafuta kazi yoyote

    kuosha magari unaweza?
  8. caoren

    Mwanamke anayekata kiuno sana, kuzaa ni shida

    kukaa tuli kama mtungi sitaweza kwakweli lazima niandaliwe kisaikolojia kwa mda mrefu..... maisha ya kimakua yameniathiri sana[emoji27][emoji27][emoji27][emoji25][emoji25][emoji25]
  9. caoren

    Mwanamke anayekata kiuno sana, kuzaa ni shida

    hahhaaahhahahaha uwiii kweli eeeh
  10. caoren

    Mwanamke anayekata kiuno sana, kuzaa ni shida

    ngoja niache, kumbe ndo mana sipati mimba [emoji22][emoji22][emoji22]
  11. caoren

    Share experience au Nishauri kwa Mkasa huu

    hahahahahaha huyo dada alifanywaje
  12. caoren

    Kuhusu kukaribisha wageni chakula

    UCHOYO ULIOKITHIRI
Back
Top Bottom