afu nashangaaga sana mnaposema
diamond hajui kuimba wakati akitoa miziki mitaani inaimbwa sana kuliko mziki wowote...
hapo hapo mnasema hana sauti
lakini sauti hio hio ndo inampeleka kimataifa...
tusikariri hayo maneno kwamba kiba mwanamuziki ,diamond mfanyabiashara/msanii
diamond sio bakhresa...
kukaa tuli kama mtungi sitaweza kwakweli
lazima niandaliwe kisaikolojia kwa mda mrefu.....
maisha ya kimakua yameniathiri sana[emoji27][emoji27][emoji27][emoji25][emoji25][emoji25]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.