Recent content by candor

  1. C

    Kama ukiambiwa usubiri baada ya muda flani watakuita, kuna haja ya kuwasiliana na aliyekuahidi?

    Wakumbushe tu mkuu. Kama una namba zao wapigie watakujibu tu. Haya mie ilikua hivohivo kwenye interview flan nikaona kimya nikawapigia, wakanijibu baada ya siku nne mbele nikaitwa. Kwahiyo hakuna cha ajabu kama muda waliokuahid umepita. We wapigie tu. NB: Ni vema kupiga sim muda wa kazi.
  2. C

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Hadi mikononi mwangu ni sh ngapi. na maximum waiting period ni ipi?
  3. C

    Happy new year to all membera

    happy new year
  4. C

    Utani wa mimba uishe mwaka 2018

    Gharamia tu mkuu tuela tudogotudogo. hiyo mizaha itapungua kama sio kuisha kabisa.
  5. C

    Jamani whatsup imeondoka na 2017?

    inayumba sana. ila ipo.
  6. C

    Jamani whatsup imeondoka na 2017?

    Ipo,, ila inakuja na kupotea. (inshort; inayumba sana)
  7. C

    Jamani whatsup imeondoka na 2017?

    ni kweli kabisa. nilifikiri ni kwangu tu.
  8. C

    Stress Free Zone

    aisee!
Back
Top Bottom