Wakumbushe tu mkuu. Kama una namba zao wapigie watakujibu tu. Haya mie ilikua hivohivo kwenye interview flan nikaona kimya nikawapigia, wakanijibu baada ya siku nne mbele nikaitwa. Kwahiyo hakuna cha ajabu kama muda waliokuahid umepita. We wapigie tu.
NB: Ni vema kupiga sim muda wa kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.