Wakumbushe tu mkuu. Kama una namba zao wapigie watakujibu tu. Haya mie ilikua hivohivo kwenye interview flan nikaona kimya nikawapigia, wakanijibu baada ya siku nne mbele nikaitwa. Kwahiyo hakuna cha ajabu kama muda waliokuahid umepita. We wapigie tu.
NB: Ni vema kupiga sim muda wa kazi.
NB: Ni vema kupiga sim muda wa kazi.