habar zenu wana jm forum, na matatizo ya kuachia kwa meno yana acha njia au uwazi kadri siku zinapoenda, na hili tatizo sio mimi tu hadi dada yangu wa tumbo moja pia meno yako hivyo hivyo mimi ndyo yanaanza yeye ndyo yameacha uwazi kama katoa jino. Naomben msaada jamn nifanyaje au kuna dawa maalamu
Habari zenu wana JF forum, nina mdogo wangu ana umri wa miaka 18 anasumbuliw kutopata haja kubwa na akipata kina kuwa kigumu sana ina mpelekea kupata maumivu makali na kuchanika. msaada atumia dawa gani maana mpaka analia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.