Recent content by candlyn

  1. C

    Majina ya ajabu sijapata ona!

    Hahahah huyo Jesus lool hata wazazi waliotoa jina wangetakiw wafikirie kwanza
  2. C

    Hivi unalijua hili......??

    Duh hahahahah
  3. C

    meno yana achia yanaacha uwazi kadri siku zinapoenda naombeni msaada

    habar zenu wana jm forum, na matatizo ya kuachia kwa meno yana acha njia au uwazi kadri siku zinapoenda, na hili tatizo sio mimi tu hadi dada yangu wa tumbo moja pia meno yako hivyo hivyo mimi ndyo yanaanza yeye ndyo yameacha uwazi kama katoa jino. Naomben msaada jamn nifanyaje au kuna dawa maalamu
  4. C

    Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake

    Habari zenu wana JF forum, nina mdogo wangu ana umri wa miaka 18 anasumbuliw kutopata haja kubwa na akipata kina kuwa kigumu sana ina mpelekea kupata maumivu makali na kuchanika. msaada atumia dawa gani maana mpaka analia
  5. C

    Anang'ang'ana nimtoe out.

    fanya kazi kwanza, kazi ndyo kila kitu kama ungekuw huna kazi hata hiyo out ungeweza kumtoa utamtoa ukiwa free kama hataki hakupend huyo
  6. C

    00:00 pm - ROLL CALL KWA WANA JF WOTE.

    nipooooooooooooooooooo
  7. C

    Pumbu zinakuwa ndogo

    hahahaha mwaka huu utakuw wa kucheka, duuh unatak kuwa na mzigo mkubwa
  8. C

    Mwaka mpya majanga...

    duuh pole sana,usikute kalalaa
  9. C

    hodi

    asante ushibo
  10. C

    hodi

    mambo zenu jamn me mgeni.
  11. C

    Nampenda sana ila nakinai mapema

    mmh huyo haja mpenda kwa dhati 2
Back
Top Bottom