Nampenda sana ila nakinai mapema

Nampenda sana ila nakinai mapema

mwanzo niichukulia kama chapa ikalale lkn baadae tukachanganyana ikabidi apande daraja kuwa demu lkn she isn't wife material.


Mwache tu akatafute husband material,nawe tafuta wife material.
 
Nikiwa nae mbali namtamani na mapenzi yanakuwa juu, ila nikisha kaa nae kwa siku zaidi ya mbili tu, namkinai kabisa hadi natafuta kila mbinu niweze kumtoka. Baada ya wiki hivi, naanza kumtafuta na kubembeleza kwa cost kubwa tu.
Ameniambia "am just using her"
And she said she is now looking for someone who cares. Eti sasa roho inaniuma!
wadau, hali hii inawatokea na nyie au nimelogwa?
Wewe una Jini Mahaba ndilo linalokuharibia hilo penzi lako mtafute mtu aweze kulitoıa hilo jini mahaba ulilokuwa nalo. Ingawa hujasema wewe ni Mwanamme au Mwanamke na una miaka mingapi?
 
unajua mkuu majini mahaba wakimwingia m2 mtu huyo huonesha dalili mbalimbali na nyingi sana siwez kuzisema dalili hizo kwasasa maana nlikua napita nikaona nitie kaneno kidogo apa hivyo kwamaelezo yako bas usichanganyikiwe namambo mengi bali una jini mahaba,kwaiyo muombe Mungu wa ibrahm,isaka na yakobo (kutoka 3,6) asante mkuu
 
Tatizo lako wewe inaonekana bado una tamaa na wanawake wengine, then ndo maana unamchukulia kawaida pindi unapomuona halafu pia inaonesha pia ukiwa na shida ya penzi ndo unapomkumbuka... ila akija kupata mwingine roho itakuuma sana mkuu, unatakiwa u show some care!.. Hiyo ishu hata mi ni mgonjwa, but nimebadilika kidogo sio kama wewe huwa nashow some care...
 
mwanzo niichukulia kama chapa ikalale lkn baadae tukachanganyana ikabidi apande daraja kuwa demu lkn she isn't wife material.
kwahiyo akisha mmega ndo anakuwa sio wife material majanga maharage ya mbeya
 
[/B][/COLOR]
Mwache tu akatafute husband material,nawe tafuta wife material.

Hivi vingereza vyenu..
Haya mambo ya wife/husband material yameanza lini jamani
Yani wapo wa kuchapa na kusepa kisa sio wife/hubby material...

Asa nitajuaje kuwa mimi ni hubby material?
 
Chakarika kivyakovyako haraka sana ili usimpoteze mrembo ukabaki majuto mjukuu na kuanza kulialia.

 
Last edited by a moderator:
Hivi vingereza vyenu..
Haya mambo ya wife/husband material yameanza lini jamani
Yani wapo wa kuchapa na kusepa kisa sio wife/hubby material...

Asa nitajuaje kuwa mimi ni hubby material?
Umesoma vizuri nilipoweka rangi Eli79? Kijana anadai bint sio wife material,ndio nimemshauri basi amuache ili bint akatafute hubby material na kijana apate wife material maana kilicho sumu kwako kwa wengine dawa!!
Hivyo viingereza vyao mi nime copy na ku paste.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom