mwathu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 403
- 210
hahahaaaaaaa......... ila nyingine huwa zinajichokea zenyewe bila hata ya kuguswa sasa hapo sijui tunafanyaje hahahahahaa.....
Tambua kuwa demu wako ulienae leo ndo mke wa mwenzio kesho......hivyo unavyomgegeda mgegede japo kwa ustarabu kidogo ili jamaa atakaekuja kuuchukua mzigo akute mashine inauafadhari kidogo....yaani kula lakini kumbuka kumbakishia mwenzio,nawasilisha!!