Recent content by Candela

  1. Candela

    Tusiwalaumu sana polisi, mfumo wa kuwapata ni shida pia

    Soma tena uelewe, hao mapolisi wa CPA hawawezi kutumwa kuteka watu. Na ndio wako hiyo 10%.
  2. Candela

    Tusiwalaumu sana polisi, mfumo wa kuwapata ni shida pia

    Katika vitu tulifeli kama nchi ni suala la upatikanaji wa polisi. Walio wengi wanapatikana baada ya kufeli shule, yes asilimia 90 ya askari walio huku chini wanaosota barabarani ni waliofeli shule Sasa tuje hapa kwenye shule. Mara nyingi shule kunakuwaga na wale jamaa hawapendi shule, wahuni...
  3. Candela

    Tanzania yapanga kuuza sehemu ya Hazina yake ya Dhahabu kusaidia kufadhili miradi ya miundombinu

    Ni kilaza grade A+ ndio anaweza kuamini dhahabu inauzwa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu. Nawahakikishia kwamba dhahabu itauzwa na miundombinu itabaki hivyo hivyo. Hii idea ya kuuza dhahabu imekaa kifisadi. Kuna watu wanataka chao mapema.
  4. Candela

    Kama kweli makanisa yanaongozwa na wasomi, ni kwanini picha feki ya Yesu mzungu bado inatumika? Yesu alikuwa Mweusi, kuna anayebisha?

    Huwa kuna swali najiuliza mpaka leo. Kwa nini Picha ya Yesu inayotumika kuabudu ni ya mzungu aliyeigiza sinema ya Yesu.
  5. Candela

    Unaambiwa mauaji ya Oktoba 29 hayakuwa kwa bahati mbaya

    Mdau anasema yeye ni daktari aliekuwa likizo kabla ya uchaguzi. Alipokea SMS akielekezwa kurejea kazini kabla ya siku ya uchaguzi kwa ajili ya kujiandaa na wimbi kubwa la majeruhi litakalokuwepo siku hiyo. Mdau anaendelea kusema alikuwa akitoa risasi majeruhi na mda mwingine alilazimika...
  6. Candela

    Kuchanganyikiwa na kutokuwa na akili kwa wanaojiita wanaharakati

    Normal means low IQ, i am not normal.
  7. Candela

    PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi 2025

    Yaani watu waliokuwa ma chekibobu shule, wahuni wa shule, wezi wa shule. Walimu waliwatambua kama wanafunzi wasio na mwelekeo wa maisha. Watu ambao ingetokea amepata Div 4 ya 26 basi ingekuwa ni maajabu kwa jamii nzima kujiuliza amepataje hiyo. Watu hao ndio wanapewa dhamana ya kutafsiri na...
  8. Candela

    Kuchanganyikiwa na kutokuwa na akili kwa wanaojiita wanaharakati

    We ndio una uwezo mdogo wa kufikiri na hujui. Kama wamekamatwa na hatia achia mahakama ifanye kazi yake. Mahakama ni chombo huru hakifanyi kazi kwa maagizo ya Rais wala mtu yeyote kikatiba. We unaleta hisia kwenye utaalamu. Kama mahakama itaona hawana kesi za kujibu itawaachia kama haitaona na...
  9. Candela

    PostGE2025 Watekaji wanajulikana mbona!

    Mtu ametekwa baada ya kumsema kiongozi fulani au kukosoa jambo fulani. Halafu anatekwa unasema waliomteka hawajulikani. Kweli? Leo ukigombana na mtu ukamtishia maisha anakutipoti polisi na ikitokea amepata madhata kwa namna yoyote polisi wataanza na wewe. Sasa hili suala la mtu anamkosoa mtu...
  10. Candela

    Sijapenda tabia ya Serikali kukagua kitambulisho cha NIDA kila unapovuka nje ya mkoa wako

    Hao NIDA wenyewe hawatoi ID ontime unamwambiaje mtu lazima awe na ID kusafiri.
  11. Candela

    PostGE2025 Nimeogopa sana! Kete yao ya mwisho ni udini

    Mimi ni Muislam lakini ukweli ni kwamba waislam wa Zanzibar ni Jihadi na wako tayari kuua mtu kisa sio muislam. Zanzibar ni Islamic state mkumbuke. Hata hao askari wa Zenji ndio wanainjoi kuua Watanganyika.
  12. Candela

    Polisi sio mahala salama tena

    Kadha ya polisi sio kadhi adhimu ndio maana wanachukua walifeli shule, kulr wanatakiwa watu wasio na uelewa na uwezo wa kuhoji au kujenga hoja na kuuliza maswaki ya msingi. Mimi nilimaliza form 4 mwaka 2001 nikakosana na mjomba kwa kuwa alitaka niende jeshi ile hali nimefaulu, nikamwambia...
  13. Candela

    Polisi sio mahala salama tena

    IQ ya mtu unaijua akifungua kinywa chake kusema jambo, sio issue ya mpaka umfahamu mtu.
  14. Candela

    Polisi sio mahala salama tena

    We tunakujua IQ yako na wao haipishani sana.
Back
Top Bottom