Recent content by Candela

  1. Candela

    JamiiForums Tanzania Gari ya serikali tinted ya nini?

    We utakuwa na akili fyatu sio bure, la unatumia simu ya mkopo
  2. Candela

    JamiiForums Tanzania Gari ya serikali tinted ya nini?

    Tinted haitakiwi kisheria, japo inaruhusiwa kuweka tinted inayoonesha ndani watu kama vivuli
  3. Candela

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wangu analalamika simtafuti

    Kwa hiyo mtu asiwe na standards
  4. Candela

    JamiiForums Tanzania Gari ya serikali tinted ya nini?

    Hii suala kifike mahali likome, gari ya umma inaweka tinted ya nini?
  5. Candela

    JamiiForums Tanzania Mchefu mchafu wa wauza magari kwa sasa

    Kama una mpango wa kununua gari kupitia yard au gari zilizo nchini tayari kuwa makini sana na haya maneno mawili; 1. AFTER MVUNJOO 2. JUST ARRIVED FRESH FROM JAPAN Haya maneno mawili yanatumiwa sana na madalali kuuza magari yaliyokaa sana. Msemo wa kwanza AFTER MVUNJO unatumiwa kuuza gari hata...
  6. Candela

    JamiiForums Tanzania Mchefu mchafu wa wauza magari kwa sasa

    Kama una mpango wa kununua gari kupitia yard au gari zilizo nchini tayari kuwa makini sana na haya maneno mawili; 1. AFTER MVUNJOO 2. JUST ARRIVED FRESH FROM JAPAN Haya maneno mawili yanatumiwa sana na madalali kuuza magari yaliyokaa sana. Msemo wa kwanza AFTER MVUNJO unatumiwa kuuza gari hata...
  7. Candela

    JamiiForums Tanzania Elimu ya ununuzi wa magari used, hasa haya ya Ujarumani

    Ukinunua gari ya milioni 25, ukabaki na milioni 3 we huna uwezo wa kununua hiyo gari ila umefosi. Kama likipata ajali likawa halifai na ukarudi kupanda daladala maana yake hukuwa na uwezo nalo.
  8. Candela

    JamiiForums Tanzania Elimu ya ununuzi wa magari used, hasa haya ya Ujarumani

    This is for quick brains
  9. Candela

    JamiiForums Tanzania Elimu ya ununuzi wa magari used, hasa haya ya Ujarumani

    Mdau, leo nigusie kidogo suala la uagizaji magari kutoka nje. Hasa haya ya Ujarumani. Wengi huagiza haya magari wakiamini huko lilikotoka lilimilikiwa na mtu mmoja. hapana hata kule kuna yard za magari used na sio wazungu/wajapan wote wana uwezo wa kununua zero kilometer. Zipo yard maarufu...
  10. Candela

    JamiiForums Tanzania Kama hauna hela za kutosha utalaumu sana single maza

    Mi nna kibunda na ninahonga balaa, ila kwa single maza nilinyoosha mikono.
  11. Candela

    JamiiForums Tanzania Habari, gari kama hii naipata wapi kwa hapa bongo au hata kuagiza 0 km

    Mdau nikushauri tafuta pesa kwanza. Pesa uliyonayo haitoshi hata service yake tu.
  12. Candela

    JamiiForums Tanzania Kwani TRA huwa wanampotia nani?

    Huwa najiuliza , kama taasisi ya serikali moja ya nyezo muhimu za kuboresha huduma ni kupokea maoni. Cha ajabu TRA wakiposti wanafunga maoni, sasa naijuiliza huwa wanampostia nani sasa. Tafrisi ya haraka ya wanachofanya ni kuonesha kuwa kazi na shughuli zao sio halali.
  13. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO Nimevaa Kadeti na Form Six kwenye usaili, Maafisa wa UTUMISHI wamenifukuza kwamba sijavaa "proper"

    Ni upumbavu kuamini heshima iko kwenye mavazi. Hayao mavazi wanayokataa kwenye usaili si ndio watu wanavaa ofisini kila siku
  14. Candela

    JamiiForums Tanzania Kama ulisoma Biology na unaamini kitimoto ni haramu kwa sababu hacheui, nenda kadai ada yako tu kilaza mkubwa wewe

    Hamna maagizo yoyote kutoka kwa Mungu, hamna kiumne yeyote amewahi kuongea na Mungu. Mungu ni jina alilobuni mwanafamu kwa fikra za udadisi, lakini hakuna uhakika kama Mmiliki wa dunia anaitwa Mungu
Back
Top Bottom