Recent content by Candela

  1. Candela

    JamiiForums Tanzania Mahari ni lazima, usidanganyike binti

    BIKIRA NI LAZIMA USIDANGANYIKE KIJANA
  2. Candela

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha baadhi ya wanawake walioko kwenye ndoa kuchepuka na vijana wadogo?

    Wa rika letu wanataka wababa juu hatuwezi nunulia wao iphone 17
  3. Candela

    JamiiForums Tanzania Babati kila MWANAMKE ni mzuri ndugu zangu njooni muoe huku

    Ongeza na hii , sio wachoyo pia.
  4. Candela

    JamiiForums Tanzania Umeshawai kufumania? Ilikuaje, ulipatwa na hali gani, ukafanya uamuzi gani?

    Mkuu hiyo haikuwa siku ya wajinga, ni siku yako wewe jinga
  5. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wanaofanya kazi ya kununua mchele kwa ajili ya Wilmar Rice wanateseka sana kwa mishahara duni na mazingira magumu ya kazi

    Si ndio, mimi anhesubiri mchele sijui mpunga, mda wa hesabu sijanunua na hela ninayo, akiuliza namwambia sikuwa na hela ya kula so sikutoka nilienda sehemu nikakaa kusubiri wapike
  6. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wanaofanya kazi ya kununua mchele kwa ajili ya Wilmar Rice wanateseka sana kwa mishahara duni na mazingira magumu ya kazi

    Hao sio vijana ni vilaza, mpunga wananunuaje? wakipata muuzaji anatumiwa na kampuni muamala au wanazo lesa za kununua mpunga? Kama wanazo pesa hapo ndio umuhimu wa hesabu unaingia , huenda hawa ndio wale waliosema hesabu itanisaidia nini maishani 🤣🤣, na hapo haitawasaidia kwa kweli. Ila sisi...
  7. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO DAWASA wanatoa maji usiku pekee

    Ebana kipindi cha hivi karibuni nimejikuta nimemaliza mwezi mzima bila kuona kina mama wengi wa mtaa wa pili wakipita wamebeba maji, nikahisi labda wamejiunga na DAWASA. Ebana kumbe sio, ni kwamba dawasa sasa hivi wanatoa maji usiku wa manane , sijajua kama ni maeneo yote au laa na by saa 12...
  8. Candela

    JamiiForums Tanzania HOJA Moja ya mambo yanayonikera ni kulipa tozo unapoingia stendi. Kwanini abiria atozwe pesa wakati haingizi pesa?

    Habari, abiria halipi ushuru stand. Ukiwa na tiketi mtandao unaingia bure. Kama huna tiketi unahesabika kama unafata huduma za stand hivyo lazima ulipe.
  9. Candela

    JamiiForums Tanzania Msaada kwenye mfumo wa idras

    Ningekufundisha sema naogopa utajua ID yangu.
  10. Candela

    JamiiForums Tanzania Najuta kujiunga na jeshi la polisi

    Usiseme polisi, sema mbwa mwenye miguu 2 🤣🤣🤣
  11. Candela

    JamiiForums Tanzania Kuna dada nadate nae, nilipanga kumuoa lakini naghairi

    Jamani kuna dada nadate nae, nilipanga kumuoa lakini naghairi. Huyu dada ananiganda kama Lissu na maafande. Nikitoka kazini nakaa nae sebuleni, ukimwambia hata kalale tangulia hataki. Anataka mda wote niwepo nae nakosa hata mda wa kutafakari mambo ya msingi kisa mapenzi yake. Hapana kwa kweli.
  12. Candela

    JamiiForums Tanzania Nataka nifungue kampuni itayohusika na kununulia wateja umeme kutoka TANESCO

    Mnakuwaga mnatumia hisia kujibu sio?
  13. Candela

    JamiiForums Tanzania Nyerere ndiye katufikisha hapa

    Wwngi mmeaminishwa nyerere alikuwa mtakatifu ,mfano wa kuigwa. Ila niwaambie ukikaa na wazee waliopitia shuruba za nyerere ndio utajua alikuwa hafai. Kwanza wakati wa vita ya kagera kuna tajiri aligoma kutoa mabasi yake kubeba askari, hali hiyo ilifanya apigwe marufuku kuingiza gari nchini ndio...
  14. Candela

    JamiiForums Tanzania TPA: Ada ya Uendelezaji wa Miundombinu ya Bandari kuanza kutekelezwa leo Julai 1, 2026 katika bandari zote za Bahari Kuu

    Mpaka sasa bado nawaza kazi ya DP WORLD kwa sababu kama mwekezaji hamna anachofanya zaid ya kuongeza gharama kwa wananchi. Serikali inawekeza ili yeye achukue mapato bila kutoa hata senti yake. Najiuliza huu uwekezaji ni wa aina gani?
Back
Top Bottom