We ulishawahi kwenda Blera? Iko hivi unatuma maobmi ila hayafanyiwi kazi mpaka uende personal uongee na mtumishi ndio umpe kitu kisha ashughulikie maombi yako. tofauti na hapo yataangaliwa tu kwenye mfumo hamna ataeyagusa.
Brela imekuwa mwiba kwa sasa, hawatoi huduma kama hujawapa kakitu.
Kumekuwa na hawa mawakala wanaosajiri makampuni na majina ya biashara. sasa ukiwatumia wale wanakwambia weka na 50,000 ya kupush kule ndani.
Sasa ikitokea hujawatumia hawa mawakala ukienda Brela ORS mwenyee ukatuma maombi...
Kuna ajali nimeipita hapa Matumbi wanapoweka camera askari hapo. Kuna gari zimegongana 2.
Sasa inavyoonekana wa gari dogo alijichomela kwenye blind sport ya gari kubwa akajua anaonekana akagongwa. Gari yake haijaumia sana ila kataka alipwe. Sasa mwenye gari kubwa gari yake ina Bima Kubwa...
Ebana wakuu kuna hii issue baadhi ya watu wamekuwa wakiwaona wanaobeti kama watu waliopotea. Wengine mpaka wanaenda mbali na kisema dini zinakataza.
Okey lets break it down niggaz.
Kubeti ni nini?
Ni kufanya ubashiri juu ya matukio yajayo kisha unaweka pesa. Utabiri wako ukiwa sawa unapata...
Ebana guys, nataka nifungue kampuni itayohusika na kununulia wateja umeme kutoka TANESCO kama ambavyo unaweza kutumia mtandao wa simu.
Sasa nilitaka kujua process kufuata ili Tanesco wakupe API yao uwe muuza umeme wao.
NB: Sio kuuza umeme kama wakala kibandani, ni kidigitali.
Thanks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.