Si ndio, mimi anhesubiri mchele sijui mpunga, mda wa hesabu sijanunua na hela ninayo, akiuliza namwambia sikuwa na hela ya kula so sikutoka nilienda sehemu nikakaa kusubiri wapike
Hao sio vijana ni vilaza, mpunga wananunuaje? wakipata muuzaji anatumiwa na kampuni muamala au wanazo lesa za kununua mpunga? Kama wanazo pesa hapo ndio umuhimu wa hesabu unaingia , huenda hawa ndio wale waliosema hesabu itanisaidia nini maishani 🤣🤣, na hapo haitawasaidia kwa kweli. Ila sisi...
Ebana kipindi cha hivi karibuni nimejikuta nimemaliza mwezi mzima bila kuona kina mama wengi wa mtaa wa pili wakipita wamebeba maji, nikahisi labda wamejiunga na DAWASA.
Ebana kumbe sio, ni kwamba dawasa sasa hivi wanatoa maji usiku wa manane , sijajua kama ni maeneo yote au laa na by saa 12...
Habari, abiria halipi ushuru stand. Ukiwa na tiketi mtandao unaingia bure. Kama huna tiketi unahesabika kama unafata huduma za stand hivyo lazima ulipe.
Jamani kuna dada nadate nae, nilipanga kumuoa lakini naghairi.
Huyu dada ananiganda kama Lissu na maafande.
Nikitoka kazini nakaa nae sebuleni, ukimwambia hata kalale tangulia hataki.
Anataka mda wote niwepo nae nakosa hata mda wa kutafakari mambo ya msingi kisa mapenzi yake.
Hapana kwa kweli.
Wwngi mmeaminishwa nyerere alikuwa mtakatifu ,mfano wa kuigwa. Ila niwaambie ukikaa na wazee waliopitia shuruba za nyerere ndio utajua alikuwa hafai.
Kwanza wakati wa vita ya kagera kuna tajiri aligoma kutoa mabasi yake kubeba askari, hali hiyo ilifanya apigwe marufuku kuingiza gari nchini ndio...
Mpaka sasa bado nawaza kazi ya DP WORLD kwa sababu kama mwekezaji hamna anachofanya zaid ya kuongeza gharama kwa wananchi.
Serikali inawekeza ili yeye achukue mapato bila kutoa hata senti yake.
Najiuliza huu uwekezaji ni wa aina gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.