Recent content by Candela

  1. Candela

    JamiiForums Tanzania Kesho mambo yakienda vizuri nitafukuzwa kazi chanzo ni marafiki

    Mimi maisha yangu nikikaa na mtu stori ni mademu tu au magari basi
  2. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    Blender sina mke tunafanyaje nikitoka huku YUES nikutafute?
  3. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    Mi nafanya systems development , napumzika mda wa kula tu kaka. mda wa kujifunza sina. Usiku na mchana na code tu.
  4. Candela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii dhana kuwa Mwanamke 'Single Mother' hafai tena kuwa na Mwanaume mwingine na wana matatizo ni nani alitudanganya Wanaume?

    We hujamkamata bado au anajua namna ya kukuficha. ni suala la muda tu.
  5. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    Nimeanza kutumia computer tangu shule ya msingi, sekondary mpaka chuo nikasoma IT. So uelewa wa computer sio issue. Ladba IDRAS ndio tatizo
  6. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    We ulishawahi kwenda Blera? Iko hivi unatuma maobmi ila hayafanyiwi kazi mpaka uende personal uongee na mtumishi ndio umpe kitu kisha ashughulikie maombi yako. tofauti na hapo yataangaliwa tu kwenye mfumo hamna ataeyagusa.
  7. Candela

    JamiiForums Tanzania Inachukua mda gani kubadili jina la kampuni brela baada ya kulipia?

    Wadau naomba taarifa kichwa cha habari chahusika hapo juu.
  8. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    Njia pekee ni mpaka utumie mawakala ambao huwahonga watumishi kule ndani
  9. Candela

    JamiiForums Tanzania BRELA NA UOZO WAO

    Brela imekuwa mwiba kwa sasa, hawatoi huduma kama hujawapa kakitu. Kumekuwa na hawa mawakala wanaosajiri makampuni na majina ya biashara. sasa ukiwatumia wale wanakwambia weka na 50,000 ya kupush kule ndani. Sasa ikitokea hujawatumia hawa mawakala ukienda Brela ORS mwenyee ukatuma maombi...
  10. Candela

    JamiiForums Tanzania Ukweli kuhusu Fortunatus Buyobe na Sakata la kutekwa Mshabaha Nairobi kwa mujibu wa Hilda Newton

    Kwa kifupi ukisikia mtu katekwa wengine ni mtego, anatekwa anaachiwq nyie wanaharakati sasa mnazani ni mwenzenu kumbe chawa
  11. Candela

    JamiiForums Tanzania Kuna ajali nimeipita hapa Matumbi wanapoweka camera askari

    Kuna ajali nimeipita hapa Matumbi wanapoweka camera askari hapo. Kuna gari zimegongana 2. Sasa inavyoonekana wa gari dogo alijichomela kwenye blind sport ya gari kubwa akajua anaonekana akagongwa. Gari yake haijaumia sana ila kataka alipwe. Sasa mwenye gari kubwa gari yake ina Bima Kubwa...
  12. Candela

    JamiiForums Tanzania Wote tunabeti hakuna aliye salama kama kubeti ni dhambi

    Kwani hamna watu wenye maisha magumu toka wanazaliwa na wanafanya maovu? Sijawahi kusikia mkamaria amepora ili akabeti.
  13. Candela

    JamiiForums Tanzania Wote tunabeti hakuna aliye salama kama kubeti ni dhambi

    Ebana wakuu kuna hii issue baadhi ya watu wamekuwa wakiwaona wanaobeti kama watu waliopotea. Wengine mpaka wanaenda mbali na kisema dini zinakataza. Okey lets break it down niggaz. Kubeti ni nini? Ni kufanya ubashiri juu ya matukio yajayo kisha unaweka pesa. Utabiri wako ukiwa sawa unapata...
  14. Candela

    JamiiForums Tanzania Nataka nifungue kampuni itayohusika na kununulia wateja umeme kutoka TANESCO

    Ebana guys, nataka nifungue kampuni itayohusika na kununulia wateja umeme kutoka TANESCO kama ambavyo unaweza kutumia mtandao wa simu. Sasa nilitaka kujua process kufuata ili Tanesco wakupe API yao uwe muuza umeme wao. NB: Sio kuuza umeme kama wakala kibandani, ni kidigitali. Thanks.
  15. Candela

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TRA wanaomba nyaraka ambazo tayari ulishazitoa BRELA wakati unafungua kampuni?

    Kama IDRAS nilivyoona ya hovyo nikajua Developer wa bongo kumbe waliajiri watu wa nje 🤣🤣🤣
Back
Top Bottom