Katika vitu tulifeli kama nchi ni suala la upatikanaji wa polisi.
Walio wengi wanapatikana baada ya kufeli shule, yes asilimia 90 ya askari walio huku chini wanaosota barabarani ni waliofeli shule
Sasa tuje hapa kwenye shule. Mara nyingi shule kunakuwaga na wale jamaa hawapendi shule, wahuni...
Ni kilaza grade A+ ndio anaweza kuamini dhahabu inauzwa kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu.
Nawahakikishia kwamba dhahabu itauzwa na miundombinu itabaki hivyo hivyo. Hii idea ya kuuza dhahabu imekaa kifisadi. Kuna watu wanataka chao mapema.
Mdau anasema yeye ni daktari aliekuwa likizo kabla ya uchaguzi. Alipokea SMS akielekezwa kurejea kazini kabla ya siku ya uchaguzi kwa ajili ya kujiandaa na wimbi kubwa la majeruhi litakalokuwepo siku hiyo.
Mdau anaendelea kusema alikuwa akitoa risasi majeruhi na mda mwingine alilazimika...
Yaani watu waliokuwa ma chekibobu shule, wahuni wa shule, wezi wa shule. Walimu waliwatambua kama wanafunzi wasio na mwelekeo wa maisha. Watu ambao ingetokea amepata Div 4 ya 26 basi ingekuwa ni maajabu kwa jamii nzima kujiuliza amepataje hiyo.
Watu hao ndio wanapewa dhamana ya kutafsiri na...
We ndio una uwezo mdogo wa kufikiri na hujui. Kama wamekamatwa na hatia achia mahakama ifanye kazi yake. Mahakama ni chombo huru hakifanyi kazi kwa maagizo ya Rais wala mtu yeyote kikatiba. We unaleta hisia kwenye utaalamu.
Kama mahakama itaona hawana kesi za kujibu itawaachia kama haitaona na...
Mtu ametekwa baada ya kumsema kiongozi fulani au kukosoa jambo fulani. Halafu anatekwa unasema waliomteka hawajulikani. Kweli?
Leo ukigombana na mtu ukamtishia maisha anakutipoti polisi na ikitokea amepata madhata kwa namna yoyote polisi wataanza na wewe.
Sasa hili suala la mtu anamkosoa mtu...
Mimi ni Muislam lakini ukweli ni kwamba waislam wa Zanzibar ni Jihadi na wako tayari kuua mtu kisa sio muislam. Zanzibar ni Islamic state mkumbuke. Hata hao askari wa Zenji ndio wanainjoi kuua Watanganyika.
Kadha ya polisi sio kadhi adhimu ndio maana wanachukua walifeli shule, kulr wanatakiwa watu wasio na uelewa na uwezo wa kuhoji au kujenga hoja na kuuliza maswaki ya msingi. Mimi nilimaliza form 4 mwaka 2001 nikakosana na mjomba kwa kuwa alitaka niende jeshi ile hali nimefaulu, nikamwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.